Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Hujui jamaa nahis ana utindio huyu sio bure
 
I get your point and that's why Feminism was supposed kupunguza iyo burden kwa wanaume kila kitu wao but kinachonikera ni unafki wa many women who earn their money but bado kila kitu wafanyiwe na wanaume.

Wanaume mkatae huu ufala 100% it's ok kusaidiana kwa shida and iwe vice versa Kama she feels entitled kila kitu Achana naye kuwa mkali. Hii tabia inawaharibia savings many men kulea limtu limekaa tu kheri kahaba kabisa anayejiuza u know u pay u f*ck kuliko such women waliolelewa kw privilege, maisha mazuri, wamesoma Shule expensive wanalipwa vizuri bado yanataka yahudumiwe kila kitu; for such stupid women wasipopelekwa shule utakosea au kuwanyima urithi coz yanategemea wanaume tu?

Siyapendi haya mawanawake kwa kweli na midume zoba inayowadekeza. Trade for Trade. Men kataeni huu uhuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…