Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kwenye kundi la mashoga LGBTQ wewe upo herfi Q = Queer! Yaani wewe ni mwanaume na huukubali uwanaume wako lakini bado hujaanza kuingiliwa nyuma.

Mungu na atupishe mbali na Mambo haya
 
NADHAN SASA MASHOGA WAJISAJIR ORODHA YAO WATAFTIWE POLI WAKALE HAYO MAVI YAO PEKEE YAO KULKO KUENDELEA KUIHARIBU JAMII AFU IONEKANE NI HAKI YAO WAKATI HATA HUO NI UHARIFU KAMA KUUZA DAWA ZA KULEVYA,UUAJI NA JINAI ZINGINE
 
View attachment 2564951
Uwe hauna likitambi ujikunje uzame katikati ya hilo paja, Uanaume raha, kuzaliwa mwanaume ni fahari, kwa siku hospitali zote duniani watoto wa kiume wanaozaliwa ni wachache kulinganisha na watoto wa kike,
Hapo ni mambo ya mbuzi kavimba au mbuzi kagoma kwenda huko kwingine kote unataka kubadili katiba...hizo ndio burudani au maua ya Dunia hii kama huko Porini ishu za Twiga na Swala..
 
Inna lillahi wainna ilayhi rajiou

Surely tupo ktk endtimes. Wanaume tupo wachache huku wanawake wakiongezeka.

Mungu amempa daraja kubwa sana mwanaume kuliko mwanamke. Mwanaume ndie mlinzi na msimamizi wa mwanamke. Mwanaume ndie anaeendeleza kizazi cha binadamu na Mungu amemteua kuwa ni mbebaji wa mbegu za uzazi na kuwa mtawanyaji wa mbegu.

Mwanamke ameamrishwa amtii mumewe (mwanaume).

Ni msiba mzito kusikia mwanaume anatamani angeliumbwa mwanamke.
 
Mkuu unaifikilia mizigo kinyama so uliambiwa uwe tajiri hakuna mizigo wewe hukunbali naona
Mimi katika kukua kwangu kote nakamua pisi kali wala hata siwazi mazee...sasa hizi pisi zilivyo za maana harafu mtu anawaza eti awe pisi si balaa hilo ukizingatia vurugu tunazozifanyia huko kwa bed na zinatii kama tupo jeshini...
 
Ila as usual atakuwa na probability kubwa ya committing suicide
 
Mashoga huwa wanaanzi hivi hivi kwa kutamani kama wangezaliwa Wanawake.

Ni noma sana Mwanaume kutamani uanamke,maana take anatamani kupumuliwa.

Kemia hiyo roho,hizo ni dalili za ushoga.
Siyo dalili huyu tayar anapumuliwa ni vile anatafuta tu wafuasi chama kiwe kikubwa
 
3. Kuna baadhi ya wanaume wanaofikiri kuwa mambo ni marahisi kwa wanawake, Swali ni je mtu hawezi kueleza changamoto za wanaume bila kutamani kuwa mwanamke?

Usituambie kuwa kwako wewe ni sahihi mwanaume kutamani kuwa mwanamke, okay inaweza kuwa sahihi sababu utasema kila mtu yuko entitled na anavyojisikia, lakini je ni normal...? Kama sivyo, basi ndio sababu ya watu kutoa comments hivi wanavyozitoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…