Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kwenye kundi la mashoga LGBTQ wewe upo herfi Q = Queer! Yaani wewe ni mwanaume na huukubali uwanaume wako lakini bado hujaanza kuingiliwa nyuma.

Mungu na atupishe mbali na Mambo haya
 
NADHAN SASA MASHOGA WAJISAJIR ORODHA YAO WATAFTIWE POLI WAKALE HAYO MAVI YAO PEKEE YAO KULKO KUENDELEA KUIHARIBU JAMII AFU IONEKANE NI HAKI YAO WAKATI HATA HUO NI UHARIFU KAMA KUUZA DAWA ZA KULEVYA,UUAJI NA JINAI ZINGINE
 
View attachment 2564951
Uwe hauna likitambi ujikunje uzame katikati ya hilo paja, Uanaume raha, kuzaliwa mwanaume ni fahari, kwa siku hospitali zote duniani watoto wa kiume wanaozaliwa ni wachache kulinganisha na watoto wa kike,
Hapo ni mambo ya mbuzi kavimba au mbuzi kagoma kwenda huko kwingine kote unataka kubadili katiba...hizo ndio burudani au maua ya Dunia hii kama huko Porini ishu za Twiga na Swala..
 
Inna lillahi wainna ilayhi rajiou

Surely tupo ktk endtimes. Wanaume tupo wachache huku wanawake wakiongezeka.

Mungu amempa daraja kubwa sana mwanaume kuliko mwanamke. Mwanaume ndie mlinzi na msimamizi wa mwanamke. Mwanaume ndie anaeendeleza kizazi cha binadamu na Mungu amemteua kuwa ni mbebaji wa mbegu za uzazi na kuwa mtawanyaji wa mbegu.

Mwanamke ameamrishwa amtii mumewe (mwanaume).

Ni msiba mzito kusikia mwanaume anatamani angeliumbwa mwanamke.
 
Mkuu unaifikilia mizigo kinyama so uliambiwa uwe tajiri hakuna mizigo wewe hukunbali naona
Mimi katika kukua kwangu kote nakamua pisi kali wala hata siwazi mazee...sasa hizi pisi zilivyo za maana harafu mtu anawaza eti awe pisi si balaa hilo ukizingatia vurugu tunazozifanyia huko kwa bed na zinatii kama tupo jeshini...
 
Fanya hivi:

Nenda pale ubalozi wa Marekani. Kawaambie kuwa wewe kihisia ni mwanamke na kwamba unahitaji kubadilisha jinsia uwe mwanamke. Tafuta na makaratasi ya kufoji kutoka kwa madaktari kuonyesha una homoni nyingi za kike na Testosterone kiduchu sana.

Waambie hapo ubalozini kuwa Tanzania unateswa sana na maisha yako yamo hatarini; na kwamba ili kuokoa maisha yako inabidi ukimbilie Marekani. Tafuta na RB za polisi za uwongo kwamba ulishawahi kupigwa karibia ufe baada ya kufumwa umevaa gauni ukidengua badala ya suruali.

Kwa vile maisha yako yamo hatarini waambie wakuunganishe na NGO mojawapo inayoshughulika na mambo ya mashoga. Hawa watakulipia nauli kwenda Marekani.

Ukifika huko anza mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke. Utafakamia mavidonge na sindano za homoni za kike. Ndevu zitapukutika, sauti itabadilika na kuwa ya kike na vititi vitaanza kuota. Abdallah kichwa naye ataanza kusinyaa pamoja na wenzake na hata ma bashite yako yataanza kukua na hips kupanuka...

Kama hiyo NGO yako itakuwa tayari kukulipia, au kama wewe mwenyewe utakuwa na hela zako basi anza mchakato wa operesheni ya kubadili jinsia yako kuwa ya kike. Operesheni hii ni ghali kidogo na inakwenda hatua kwa hatua na gharama zake ni kati ya dola za Kimarekani 20K - 100K+. Watatoa mfumo wote wa uzazi wa kiume na kuweka wa kike na ukija kurudi Bongo utakuwa bonge ya pisi kiasi kwamba utakuwa unatongozwa usiku na mchana na hakuna atakayejua kuwa huko nyuma uliwahi kuwa Mpwayungu Village. Sasa si ajabu utakuwa unajiita Mpwayungulicious......

Changamka sasa hivi kabla ma Democrats akina Biden hawajaondoka madarakani maana akija kuingia Trump au De Santis mwaka kesho haitakuwa rahisi maana ma Republican hawashobokei mambo ya ushoga na huu upuuzi wa LGBTQ...na kupata visa kwa sababu hiyo haitakuwa rahisi.

Kila la heri mkuu...

Na kila mwalimu na aseme Aaaamen! [emoji16]
View attachment 2564758
Ila as usual atakuwa na probability kubwa ya committing suicide
 
Mashoga huwa wanaanzi hivi hivi kwa kutamani kama wangezaliwa Wanawake.

Ni noma sana Mwanaume kutamani uanamke,maana take anatamani kupumuliwa.

Kemia hiyo roho,hizo ni dalili za ushoga.
Siyo dalili huyu tayar anapumuliwa ni vile anatafuta tu wafuasi chama kiwe kikubwa
 
Kwa comment za Uzi huu nimegundua vitu kadhaa

1. Tatizo la afya ya akili litatuua sana wanaume maana tukieleza changamoto zetu tunaonekana tumelegea, tunataka mteremko, au tunakua mashoga??!;

2. Pia nimegundua wanaume wengi wanawachukulia wanawake kama chombo Cha starehe tu. Yaani 90% ya comment zinasema hawatamani kuzaliwa wanawake sababu tu wangekua wanatumika kitandani??.

Nadhani ifike mahala mtu akiwa na stress za jambo Fulani ajibiwe kama inavyopaswa sio kusema ni shoga au ana shida ya akili n.k kwa style hii wengi watakufa na tai shingoni kwa hofu ya kuonekana hawajikazi wakipitia shida!!

Cc Proved Kalamu
3. Kuna baadhi ya wanaume wanaofikiri kuwa mambo ni marahisi kwa wanawake, Swali ni je mtu hawezi kueleza changamoto za wanaume bila kutamani kuwa mwanamke?

Usituambie kuwa kwako wewe ni sahihi mwanaume kutamani kuwa mwanamke, okay inaweza kuwa sahihi sababu utasema kila mtu yuko entitled na anavyojisikia, lakini je ni normal...? Kama sivyo, basi ndio sababu ya watu kutoa comments hivi wanavyozitoa.
 
Back
Top Bottom