Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Mimi nimesema pia Mungu atupe ufahamu wa kuona yanayoendelea duniani kabla ya sisi hatujaja duniani, ili atupe option ya kuwa mke au mme
 
Usilaumu jinsia laumu serikali kwa kutoweks mifumo sahihi ya haki sawa mwanamke afrika anapendelewa tofaut na nchi zilizo endelea kule hakuna rushwa ya ngono kila mtu anapata kutokana na uwezo wake
Nchi zetu za ajabu sana
 
umetukosea sana wanaume la muhimu usijute hata kidogo mwanaume unatakiwa kuwa mpambanaji kwenye hii Tanzania yetu fursa kibao ila ni vile wanaume wengi hatutaki kujituma na kupambana hivi Kila mwanaume akijutia kama wewe Dunia si itawaka moto
 
Nyie mnaotetea hoja ya mtoa mada kuna nati zimelegea sio bure, sasa utatamanije kuwa mwanamke usiliwe?.

Halafu amesema kabisa anatamani kuwa mwanamke ili apate mserereko wa maendeleo, hapa duniani kati ya mwanamke na mwanamme nani mwenye chance kubwa ya kufanikiwa? Kwangu Mimi naona mwanaume ananafasi kubwa ya kufanikiwa kuliko mwanamke na hilo linadhihilishwa na tunachokiona kwenye jamii zetu.

Sasa kwanini mtoa mada atamani nafasi za upendeleo wanazopewa wanawake?. Inamaanisha mapambano ya kiume ameshindwa.
Muanzisha uzi anatoa hoja za kiuchumi, wanaojibu wote wako kwenye ngono. Tz ngumu sana!
 
Mkuu bora kuzaliwa mwanaume... Hakuna mwanamke anaependa kuwa mwanamke na kukojolewa ndani ,.. ni vile tuu hawana namna wanakubali tuu ili waweze kuishi...imagin unawekwa dogstyle huku unapigwa kofi la m^tak¢
 
Kwa jinsi unavochukia walim ss nishajua nn sababu kumbe akili hazipo sw na huwa unataman kupelekewa moto kikawaida n ngumu mtt wa kiume kutaman kuwa mwanamke kozi kupelekewa moto si mchezo leo hii we ndo unataman hii hatari alichozungumza makamo wa rais ss naamin
 
Kwahiyo majukumu ya mwanamke ni ngono tu sindio
 
Mwalimu ni mzazi, laana hiyo imeanza kumtafuna.
Hhhahaha ndomnavyodanganyana. Binadamu hawez kumpa laana binadamu mwenzake hata awe mama ako labda awe Msafi amakamilika asilimia mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…