Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Hata mashoga walitamani wazaliwe wanawake ila ndio basi tena. Ila mwisho wa siku wakaamua wanayoyafanya. Tukikuruhusu uendelee na hii tamaa yanaweza kutokea mabalaa zaidi.
 
ni uvivu wa kufanya kazi, anaona angekuwa mwanamke angehongwa tu....mtu wa hivyo akipata basha, atakubali kuinamishwa kiulaini tu ilmradi anapata pesa
Kwahiyo kazi ya mzazi wako wa kike ni hiyo tu hana faida nyingine Kwa watoto na baba ako sindio
 
Hata mashoga walitamani wazaliwe wanawake ila ndio basi tena. Ila mwisho wa siku wakaamua wanayoyafanya. Tukikuruhusu uendelee na hii tamaa yanaweza kutokea mabalaa zaidi.
Soma tena, nimeandikaje hapo chini kuhusu msimamo wangu na hao mashoga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km kweli vilee.
Ni mwili unaomsukuma kuwa vile yaan kama anavyotamani kumtafuta mwanamke hata kama ni kumpa chochote ilimradi apate mbususu katka mazingira hayo atabadirisha sauti, atabadirisha miondoko, vipodozi nk ilimradi tu apendwe na me, wakati huohuo anaogopa kujulikana
 
Yani unatamani kua second selection
Polee
Mungu aliumba mwanaume peke yake baadae ndo akaona amletee mtu wa kusaidiana nae
Mpango ulikua ni kua na Male tu
 
Na ungekuwa mwanamke ningekuoa. Ningekuwa nakupelekea moto hadi uje kuhadthia humu Jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…