Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Rudia kusoma tena thread yangu madam, I before was respecting you so much but from now on you are out of my model. Nilisema kabla ya kuzaliwa tungekuwa na machaguo basi ningetaka nizaliwe mwanamke ila ni ngumu kwakua mfumo wa uumbwaji hautupi ufahamu Wala option yoyote Ile.

Kumbuka shoga sio mwanamke hata ajibadili vipi hawezi kubadili gametes. Shoga ni wakiume hata akatwe kengere zake pamoja na nyundo ya kugongea akawekewa kisima bado ni mwanaume tuu

MIMI nilitamani niwe mwanamke ila ukishazaliwa mwanaume ndobasi tena hakuna namna. Nyie mnakuja kusema mimi shoga, kwanza nachukia mashoga kuliko shetani, yani ningekuwa Mungu ningesamehe shetani ila sio shoga.
Hata mashoga walitamani wazaliwe wanawake ila ndio basi tena. Ila mwisho wa siku wakaamua wanayoyafanya. Tukikuruhusu uendelee na hii tamaa yanaweza kutokea mabalaa zaidi.
 
ni uvivu wa kufanya kazi, anaona angekuwa mwanamke angehongwa tu....mtu wa hivyo akipata basha, atakubali kuinamishwa kiulaini tu ilmradi anapata pesa
Kwahiyo kazi ya mzazi wako wa kike ni hiyo tu hana faida nyingine Kwa watoto na baba ako sindio
 
Hata mashoga walitamani wazaliwe wanawake ila ndio basi tena. Ila mwisho wa siku wakaamua wanayoyafanya. Tukikuruhusu uendelee na hii tamaa yanaweza kutokea mabalaa zaidi.
Soma tena, nimeandikaje hapo chini kuhusu msimamo wangu na hao mashoga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km kweli vilee.
Ni mwili unaomsukuma kuwa vile yaan kama anavyotamani kumtafuta mwanamke hata kama ni kumpa chochote ilimradi apate mbususu katka mazingira hayo atabadirisha sauti, atabadirisha miondoko, vipodozi nk ilimradi tu apendwe na me, wakati huohuo anaogopa kujulikana
 
Yani unatamani kua second selection
Polee
Mungu aliumba mwanaume peke yake baadae ndo akaona amletee mtu wa kusaidiana nae
Mpango ulikua ni kua na Male tu
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Na ungekuwa mwanamke ningekuoa. Ningekuwa nakupelekea moto hadi uje kuhadthia humu Jf.
 
Back
Top Bottom