Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Fanya plastic surgery,hakika utaolewa mapema kabisa.

Wahi wakati DP WORLD wanajipanga kuja,wakukute ulishapona,wakuoe fasta.

Baadhi ya wanaume wasasa,wamekua wakijuta kuwa wanaume,badala yake wanataka kuwa wadada,sijui ni maisha au ni UPEPO tu...?

Kwakweli inasikitisha sana.

Na hao DP WORLD wakija, uwezekano wa wimbi la wanaume wanaukana uananaume wao,kuingiliwa kinyume na maumbile, litaongezeka sana, kwasababu kule bandarini, wataweka walinzi wao na hao walinzi wakikamata mwizi maeneo ya bandarini,adhabu moja wapo, yawezekana wakawa wanawaingilia kinyumenyume.

Mkulungwa anaingizwa kwenye kontena,wanampelekea moto.Ngoja waje.
 
Sijawahi kujutia kuwa mwanaume nikiwaza vile kulazwa chini unatanuliwa miguu mara unawekwa dog mara mbuzi asee Bora kuwa mwanaume mara dufu.
Unaweza ukawa mwanamke na usipigwe mashine, ni uamuzi wako tu
 
Una tatizo la homone imbalance
 
Hujaiweka nafasi yako katika kuikubali ndo maana imekuwa ngumu sana, tengeneza plan zako then ziombee zitabarikiwa, sema Mungu nasimama katika utumishi ulionipa wa kuongoza mapambano ya uzao wangu na mke wangu nitawatunza kwa msaada wako, hiyo Sara inapaswa kuombwa unapoanziaha familia hata Sasa hujachelewa omba, kikubwa jitahidi kutubu dhambi zako kila siku ili mambo yako yanyooke.
 
Thanks much [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…