King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hahahahaa 😀 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliekuambia gamete X ni ya kike alikudanganya!Mwanaume ana gametes X,Y
Hivyo ndani ya mwanaume kuna Mwanamke.
Ila ndani ya Mwanamke hakuna mwanaume.
Sema nini, unajua kucheza na Akili za Watu humu Ndani. Unachohitaji ni attention na mapovu ya Watu.[emoji23][emoji23]
Mimi ninazo kama zakoHapana kama zako
Unaweza ukawa mwanamke na usipigwe mashine, ni uamuzi wako tuSijawahi kujutia kuwa mwanaume nikiwaza vile kulazwa chini unatanuliwa miguu mara unawekwa dog mara mbuzi asee Bora kuwa mwanaume mara dufu.
Una tatizo la homone imbalanceKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Kwamba utakuwa unasagana au???Unaweza ukawa mwanamke na usipigwe mashine, ni uamuzi wako tu
Thanks much [emoji120]Hujaiweka nafasi yako katika kuikubali ndo maana imekuwa ngumu sana, tengeneza plan zako then ziombee zitabarikiwa, sema Mungu nasimama katika utumishi ulionipa wa kuongoza mapambano ya uzao wangu na mke wangu nitawatunza kwa msaada wako, hiyo Sara inapaswa kuombwa unapoanziaha familia hata Sasa hujachelewa omba, kikubwa jitahidi kutubu dhambi zako kila siku ili mambo yako yanyooke.
Kwani wewe yule bwana uliyenaye hakuhudumiii? Mpwayungu bana!Ebu imajini wewe ni mwanamke afu una kazi Yako lakini umeolewa unaletewa kila kitu na mme wako, unalishwa, unavishwa, unadekezwa yani raha tupu...
🤣🤣🤣Hata wewe mkuu ukitaka kuolewa inawezekana tu, na huduma zote utapata
NakaziaHata wewe mkuu ukitaka kuolewa inawezekana tu, na huduma zote utapata