uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Umetokea matrilinear family bila shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Nje ya madaMwalimu Mkuu wa shule ya msingi gamboshi unazingua sasa
HapanaUmetokea matrilinear family bila shaka
Bora na iwe ila nachukia kuwa mwanaume, sisemi mapenzi ya Kitandani Bali nazungumzia fursa ktk huu ulimwengu wetuThis is disaster….one Man Down………
Hujui kuna foundation zinagawa taulo za kike? Muulize flavian matataKama elfu Saba ya chips uliona ngumu ..utaweza kununua Peds kila mwezi??
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Hapana utakuwa mwanamke kimwonekano tu nasio biologically. Kwanza kubadili jinsia ni dhambiaisee ila kwa dunia ya sasa unaweza kuwa mwanamke
Acha ulimbukeniUngekua unachezewa matako tuuh
Yapi hayoHaya mapunga huwa tunayafanya hiviView attachment 2564764
Duuh, Mungu akusamehe, ko mkuu kwenu wote jinsia ya kike ni mashoga sio? Mpaka marmer akoWewe ni shoga
Kwa upande wako upo sahhWrite your reply...hizo sababu hazina mashiko kabisa, pamoja na magumu ambayo wanaume tunapitia lakin asilimia kubwa tunajivunia jinsi tulivyo, hakuna mwanaume ambaye hutaman kuwa mwanamke hata siku moja wewe utakuwa unamatatizo yako binafsi
Wewe mwalimu wa Diploma unajidharilisha.Duuh, Mungu akusamehe, ko mkuu kwenu wote jinsia ya kike ni mashoga sio? Mpaka marmer ako
Mkuu hujui tu influence ya Hawa waremboHapa ulichanganya ujinga na umaskini!
Kwanini usingemueleza ukweli?
Mwanaume has XY na Mwanamke has XXMwanaume rijali hawezikubali hata kufananishwa na mwanamke siyo tu kutamani kuwa mwanamke, nahisi utakuwa na hormony za kike.