Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #141
Sumeona akili za wabongo kulukia maadaaskari yule wa zanzibar na 2 bado tunamsubiri 3..........acheni ushoga mamaku nyie.....fyuuuuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumeona akili za wabongo kulukia maadaaskari yule wa zanzibar na 2 bado tunamsubiri 3..........acheni ushoga mamaku nyie.....fyuuuuuuuu
Yule sio mwanamkeHujachelewaa sanaa,,,unaweza kuwa kama yule jamaa wa Wasafi alieamua kuwa Jichoo,,kajenga misikiti,ana range anasomesha watoto nk.
Jaribu huko
Linda zipo hadi sasa? au unaongea tear wajuba washafanya yaoKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
ProvidedMwanaume has XY na Mwanamke has XX
Nani aliyeborrow zaidi kwa mwanamke???[emoji23][emoji23][emoji23] plus all fetus starts as female and later ndo males can develop and because of a mutation ndo inakuja Y so biologically speaking Female is the standard and male wanadevelop from females Ndo maana most Transexuals are males and most homosexuals pia are males [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mkuu kuwa mwanamke sio ngono tuuuu dahNakuonea huruma mpwayungu village ukizaliw mwanamke kuna mwamba atakupakia mkongo [emoji1][emoji1]
Ni ya mda tu ukifika miaka 40 haipo tenaKinachoniudh kuwa mwanamke ni hedhi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Ivi kumbe basi sawaUngezaliwa mwanamke yote sawa ila omba uzaliwe na tako
View attachment 2564790
Nimesoma hii post kisha nikawazaaaa huyu mtoa mada amewaza nini walahKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Wewe ni SHOGA hata ukatae hadharaniKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Utaisha tu, binafsi nachukia sana mashogaUshoga hauwezi kuisha licha ya kupigwa vita vikali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ndio maana[emoji134][emoji134][emoji134]
Haya sasa mmoja mmoja mmeanza kujiweka wazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado nafasi ipo yakuwa mwanamke hujachelewa
Kwani Hakuna mbwa wa kike? Mwambie hivo mermar ako kuwa bora uwe mbwa kuliko mwanamkeMimi Kama ningepewa fursa ya kuchagua Kati ya kuzaliwa mwanamke au kuzaliwa mbwa Bora ningechagua kuwa mbwa.
Aisee kuwa mwanamke Ni shughuli pevu Sana.
A
Tayari nishazaliwa mkuuHauja chelewa bado
Haiwezekani tena, iam already bornUko tayari kubeba mimba?
Utaishia kuwachukia kama mimi ninavo wachukia.....but no way outUtaisha tu, binafsi nachukia sana mashoga