Fanya hivi:
Nenda pale ubalozi wa Marekani. Kawaambie kuwa wewe kihisia ni mwanamke na kwamba unahitaji kubadilisha jinsia uwe mwanamke. Tafuta na makaratasi ya kufoji kutoka kwa madaktari kuonyesha una homoni nyingi za kike na Testosterone kiduchu sana.
Waambie hapo ubalozini kuwa Tanzania unateswa sana na maisha yako yamo hatarini; na kwamba ili kuokoa maisha yako inabidi ukimbilie Marekani. Tafuta na RB za polisi za uwongo kwamba ulishawahi kupigwa karibia ufe baada ya kufumwa umevaa gauni ukidengua badala ya suruali.
Kwa vile maisha yako yamo hatarini waambie wakuunganishe na NGO mojawapo inayoshughulika na mambo ya mashoga. Hawa watakulipia nauli kwenda Marekani.
Ukifika huko anza mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke. Utafakamia mavidonge na sindano za homoni za kike. Ndevu zitapukutika, sauti itabadilika na kuwa ya kike na vititi vitaanza kuota. Abdallah kichwa naye ataanza kusinyaa pamoja na wenzake na hata ma bashite yako yataanza kukua na hips kupanuka...
Kama hiyo NGO yako itakuwa tayari kukulipia, au kama wewe mwenyewe utakuwa na hela zako basi anza mchakato wa operesheni ya kubadili jinsia yako kuwa ya kike. Operesheni hii ni ghali kidogo na inakwenda hatua kwa hatua na gharama zake ni kati ya dola za Kimarekani 20K - 100K. Watatoa mfumo wote wa uzazi wa kiume na kuweka wa kike na ukija kurudi Bongo utakuwa bonge ya pisi kiasi kwamba utakuwa unatongozwa usiku na mchana na hakuna atakayejua kuwa huko nyuma uliwahi kuwa Mpwayungu Village. Sasa si ajabu utakuwa unajiita Mpwayungulicious......
Changamka sasa hivi kabla ma Democrats akina Biden hawajaondoka madarakani maana akija kuingia Trump au De Santis mwaka kesho haitakuwa rahisi maana ma Republican hawashobokei mambo ya ushoga na huu upuuzi wa LGBTQ...na kupata visa kwa sababu hiyo haitakuwa rahisi.
Kila la heri mkuu...
Na kila mwalimu na aseme Aaaamen! [emoji16]
View attachment 2564758