Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena


Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi gamboshi unazingua sasa
 
 
Write your reply...hizo sababu hazina mashiko kabisa, pamoja na magumu ambayo wanaume tunapitia lakin asilimia kubwa tunajivunia jinsi tulivyo, hakuna mwanaume ambaye hutaman kuwa mwanamke hata siku moja wewe utakuwa unamatatizo yako binafsi
Kwa upande wako upo sahh
 
Mwanaume rijali hawezikubali hata kufananishwa na mwanamke siyo tu kutamani kuwa mwanamke, nahisi utakuwa na hormony za kike.
Mwanaume has XY na Mwanamke has XX
Nani aliyeborrow zaidi kwa mwanamke???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ plus all fetus starts as female and later ndo males can develop and because of a mutation ndo inakuja Y so biologically speaking Female is the standard and male wanadevelop from females Ndo maana most Transexuals are males and most homosexuals pia are males πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…