Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Unaleta mchezo na Ugumu wa Maisha wewe..

Thailand inaongoza Kwa Wanaume kijibadili na kuwa wanawake fake ukiwauliza wanasema wanakimbia Ugumu wa Maisha..

It is not easy to be a man,Kuna Jamaa Huwa wanasafiri km 100 plus Kwa baiskeli wanasukuma mkaa usiku kucha ,Huwa nikiwakuta nasikitika ila ndio wanaume hawana jinsi..huo ni mfano mmja tuu Kati ya mifano Mingi ya shuruba za mwanaume.

So nikipata mtoto wa kiume Huwa nawaza sana.
Mtoto wa kike ndo shughuli mzee, wa kiume unawaza nini sasa mkuu
 
Tangu Adamu aipokiuka maelekezo ya Mungu na kukubali kuonja Apple alilopewa na Eva pale Bustanini - Mungu alitupa adhabu wanaume wote na vizazi vyetu kuwa tutakula kwa jasho.

Hivyo haya mateso tunayoyapitia yalisababishwa na mtu mmoja tu, kwa sasa acha tutumikie adhabu bila kupenda.

Wala usitamani kuwa Ke, Nao wanawake wanapitia changamoto zao;
  • Kuzaa kwa uchungu,
  • Kuingia kwenye siku kila mwezi,
  • Wanakosa uhuru wa kutongoza wanaume,
  • Wakifikisha miaka 30 bila kuolewa wanakuwa na sonona na visirani vya kukosa mume
  • Miili yao ni tofauti na wanaume, asipokuwa msafi wa mwili unaweza kukutana na smell kali utazani panya amefia ndani huko.
  • Mwanamke akitoka kazini, bado ataingia jikoni kukuandalia chakula, ataosha vyombo, atafua nguo etc. Lakini wanaume haya majukumu hatuyawezi kuyafanya
Kuwa mwanamke shughuli yake sio ndogo.
mpwayungu village anataka na utamu
 
Not possible guy, you will only change external structure but you can't be biologically woman, there is no way out for womenization
Subiri nikuletee picha za wanaume wenzio waliotamani kupelekewa moto wakaona wabadili jinsia
 

Attachments

  • 1f53315200af6cb4cd119d2e11.jpg
    1f53315200af6cb4cd119d2e11.jpg
    56.4 KB · Views: 9
Kupata hedhi[emoji777]
Kubeba mimba miezi 9[emoji777]
Kuzaa kwa uchungu[emoji777]
Kuvaa pedi[emoji777]
Kuviziwa na wanaume[emoji777]
Hatari ya kubakwa[emoji777]
Kuwa na matiti[emoji777]
Kuwa na matako makubwa[emoji777]
Kuinamishwa kwenye sex[emoji777]
Kuliwa kwa chips na kuku[emoji777]
Kubambiwa disco[emoji777]
Siwezi kuamini kuna mwanaume anatamani kuwa mwanamke [emoji38][emoji38]
 
Hahahahha point yako kwamba, Ulitaka mtelezooo kupitia Kitobo 🤣🤣

Hivo wanayopitia Wanawake unayajua ??

Shulen aliwe na Kajamaa ili kamfundishe.

Mwalimu amle ili amfaulishe.

Boda amle ili ambebe Bure.

Wauza Duka za nguo vipodozi

Kazin atoe K ili aajiriwe


Eehh hahahahahah Mkuuu inataman utumia K ili uwe na mtelezo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kupata hedhi[emoji777]
Kubeba mimba miezi 9[emoji777]
Kuzaa kwa uchungu[emoji777]
Kuvaa pedi[emoji777]
Kuviziwa na wanaume[emoji777]
Hatari ya kubakwa[emoji777]
Kuwa na matiti[emoji777]
Kuwa na matako makubwa[emoji777]
Kuinamishwa kwenye sex[emoji777]
Kuliwa kwa chips na kuku[emoji777]
Kubambiwa disco[emoji777]
Siwezi kuamini kuna mwanaume anatamani kuwa mwanamke [emoji38][emoji38]
Kua na matiti

Matako makubwa ... Akipita tunamtaman, tinamtomgoza, tunamlaa huku tunayashikashika 🤣🤣🤣
 
Huyu mpwayungu village ametaja kabisa sababu ya kutamani kuwa mwanamke ni maisha magumu e.g aliposema alishindwa kumhudumia mwanamke kwa elfu saba ya kubarua.

Nashangaa amegeuza kauli ati anatamani tu kuwa mwanamke wakati sababu ameitaja.

Mwambieni maisha kwa mwanaume hayajawahi kuwa rahisi hata siku moja.
Kupata hedhi[emoji777]
Kubeba mimba miezi 9[emoji777]
Kuzaa kwa uchungu[emoji777]
Kuvaa pedi[emoji777]
Kuviziwa na wanaume[emoji777]
Hatari ya kubakwa[emoji777]
Kuwa na matiti[emoji777]
Kuwa na matako makubwa[emoji777]
Kuinamishwa kwenye sex[emoji777]
Kuliwa kwa chips na kuku[emoji777]
Kubambiwa disco[emoji777]
Siwezi kuamini kuna mwanaume anatamani kuwa mwanamke [emoji38][emoji38]
 
Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini

Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
😂😂😂 hii ni sawa na ule msemo "Tajiri hawezi kukwambia siri ya utajiri wake" .

Ukiondoa kuzaa wanawake kinachowatesa ni stress mnazozitengeneza wenyewe mfano

1. Mnakimbizana na umri
2. NYODOZZZZZZZ

😂😂
 
Huyu mpwayungu village ametaja kabisa sababu ya kutamani kuwa mwanamke ni maisha magumu e.g aliposema alishindwa kumhudumia mwanamke kwa elfu saba ya kubarua.

Nashangaa amegeuza kauli ati anatamani tu kuwa mwanamke wakati sababu ameitaja.

Mwambieni maisha kwa mwanaume unataka wa ni kuwa rahisi hata siku moja.
Hujanielewa pia.
Ninachomaanisha ni kwamba kuwa mwanamke sio solution, imagine kuchukulia kuwa mwanamke iwe ndio solution ya changamoto zako kwa upande mmoja lakini je, umefikiria upande wa pili wa kuwa mwanamke ukoje?
Nilikuwa najaribu kumuonesha upande wa pili wa hicho anachokitamani ulivyo mgumu. Unapunguza tatizo moja, unaongeza matatizo kumi
 
Back
Top Bottom