Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Wewe ni UPINDE
20230321_151550.jpg
 
Hujanielewa pia.
Ninachomaanisha ni kwamba kuwa mwanamke sio solution, imagine kuchukulia kuwa mwanamke iwe ndio solution ya changamoto zako kwa upande mmoja lakini je, umefikiria upande wa pili wa kuwa mwanamke ukoje?
Nilikuwa najaribu kumuonesha upande wa pili wa hicho anachokitamani ulivyo mgumu. Unapunguza tatizo moja, unaongeza matatizo kumi
Mwanamke ni rahisi kusaidiwa apatapo shida kuliko mwanaume, mwanaume unapambana mwenyewe mpaka unasema poo
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Hahahaha mpwayungu village once again 😅😅🤔 thanks for making my satoo 😅😅🏃
 
Hahahahha point yako kwamba, Ulitaka mtelezooo kupitia Kitobo [emoji1787][emoji1787]

Hivo wanayopitia Wanawake unayajua ??

Shulen aliwe na Kajamaa ili kamfundishe.

Mwalimu amle ili amfaulishe.

Boda amle ili ambebe Bure.

Wauza Duka za nguo vipodozi

Kazin atoe K ili aajiriwe


Eehh hahahahahah Mkuuu inataman utumia K ili uwe na mtelezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujui Kwa mwanamke kuliwa kwake ni starehe? Ndio maana wanasikia utamu kwahiyo kuliwa kwao ni advantage
 
Kupata hedhi[emoji777]
Kubeba mimba miezi 9[emoji777]
Kuzaa kwa uchungu[emoji777]
Kuvaa pedi[emoji777]
Kuviziwa na wanaume[emoji777]
Hatari ya kubakwa[emoji777]
Kuwa na matiti[emoji777]
Kuwa na matako makubwa[emoji777]
Kuinamishwa kwenye sex[emoji777]
Kuliwa kwa chips na kuku[emoji777]
Kubambiwa disco[emoji777]
Siwezi kuamini kuna mwanaume anatamani kuwa mwanamke [emoji38][emoji38]
Hivyo vitu vidogo sana, visingenizuia kuwa mwanamke
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Elomenopiqu at work
 
Back
Top Bottom