Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #941
Kivipi? Ramadhani Ina shida gn Kwa wanawakeMmeanza kujitaja.Hii Ramadan hii,kazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi? Ramadhani Ina shida gn Kwa wanawakeMmeanza kujitaja.Hii Ramadan hii,kazi ipo
Tupo wachache Kwa sababu wengi wanakufa Kwa kurisk maisha Yao ili kutafuta kesho Yao iliyoboraWanaume tumebak wacheche sana.
Sioni shida kuelewesha wapumbavu, nitawaelewesha mpaka mtanielewe tu kama wale walimu malofaLilikua ni swala la muda, we ulishajichanganya kuleta hii mada sema ukatumia ujanja kuonekana huja panick ili watu wachukulie poa tu, ukawa una like comments hata wakikutukana, ila nilijua lazima tu utaumia utaanza kutukana na wewe, it was just a matter of time
Umefeli pakubwa tu na navyoijua jf Kila mchango wako hapa utakosolewa kwa kutumia hii mada yako..
Hapa nakuona utakuja na Id mpya, nalo ni swala la muda pia
Wakina Nani hao mkuuHarufu ya upinde imekuwa kali sana humu ndani, mpaka mtu anatamani ashikwe t&ko.
Muulizeee kazi zao?Kwa hiyo na wewe unatamani uwe kama mama[emoji3][emoji3][emoji3]
Ukimegwa wewe ni shoga sio mwanamkeNi maamuzi yako Anza kumlaumu mama yako alikubali kumegwa na dingo yako boya,pia hata sasa hivi ukitaka kumegwa utamegwa tuu
Zamani ilikuwa ukijaaliwa kupata mtoto wa kike moyo lazima ukuende mbio jinsi ya kumlea. Ila sasa ukipata mtoto wa kiume unakuwa na wasiwasi zaidi asije kuwa mchicha mwiba katikati ya safari ya maisha.
Kuna kitu kama taifa naona hakiko sawa, yaweza kuwa;
- Utandawazi umezidi,
- Hofu ya Mungu imekwisha au watu wa dini hawafanyi kazi yao ipasavyo,
- Vyakula tunavyokula,
- Hali ya maisha kuwa ngumu kupelekea watu kupenda kitonga na ganda la ndizi.
Upo sahihi. Hata mm napinga ushogaZamani ilikuwa ukijaaliwa kupata mtoto wa kike moyo lazima ukuende mbio jinsi ya kumlea. Ila sasa ukipata mtoto wa kiume unakuwa na wasiwasi zaidi asije kuwa mchicha mwiba katikati ya safari ya maisha.
Kuna kitu kama taifa naona hakiko sawa, yaweza kuwa;
- Utandawazi umezidi,
- Hofu ya Mungu imekwisha au watu wa dini hawafanyi kazi yao ipasavyo,
- Vyakula tunavyokula,
- Hali ya maisha kuwa ngumu kupelekea watu kupenda kitonga na ganda la ndizi.
Attention ya hivi ina faida gani?Mwanaume ana gametes X,Y
Hivyo ndani ya mwanaume kuna Mwanamke.
Ila ndani ya Mwanamke hakuna mwanaume.
Sema nini, unajua kucheza na Akili za Watu humu Ndani. Unachohitaji ni attention na mapovu ya Watu.😂😂
Mwache ajichanganye tumpe ubatizo wa mkuyenge 🤣Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Mm nimeeleza faida za wanawake kwenye jamii yetu hususani kutoboa kimaisha ana fursa kuliko sisi wanaumePoint ya mwisho ndio iliyosababisha mtoa mada akaleta uzi.
Hapana staki [emoji23][emoji23][emoji23]Unahitaji uhudumiwe
How? Mama ako ni mchele?Kumbe wewe Ni mchele mchele
Attention ya hivi ina faida gani?
Msiba mzito😭Mmeanza kujitaja.Hii Ramadan hii,kazi ipo
Mkuu akili zako ndozimefika mwisho au utani? Mimi nimezungumzia faida za mwanamke kiuchumi ana fursa kubwa ya upendeleo kuliko sisi wanaume. Mwanamke anasaidiwa ila sisi tunaambiwa pambana wewe ni mwanaumeMwache ajichanganye tumpe ubatizo wa mkuyenge [emoji1787]
Huuu ni uongo mtamu mkuuuu ulisikia wapi hii kituWanawake wengi ni Job less ni kwa vile kwa takwimu wao ni wengi kuliko wanaume.
Ila mwanamke anaweza kumpata mwanaume amtakae kirahisi tofauti na mwanaume.
Mwanamke akitaka kuolewa na mtu mwenye mafanikio (ataweka target zake kichwani ataangalia je huyu jamaa ana Gali?, ana Fedha?, Ana kazi? etc) kisha ataweka mitego ya kujibebisha ili uingie king akupate kisha na yeye ataishi kiulaini kupitia mafanikio yako wewe mwanaume.
Tofauti na mwanaume ukiwa choka mbaya madem wakali wote watakuwa mashemeji zako tu.
Ndio mfumo wa maisha ya duniani umewapendelea tayari.Mkuu akili zako ndozimefika mwisho au utani? Mimi nimezungumzia faida za mwanamke kiuchumi ana fursa kubwa ya upendeleo kuliko sisi wanaume. Mwanamke anasaidiwa ila sisi tunaambiwa pambana wewe ni mwanaume
Shida yenu mnawaza ngono tu kuliko vitu vya msingi. Ivi hujui wabunge Viti maalum nivyawanawake tuu nasio wanaume
N. B. wengi wanasema ushoga kumbuka shoga sio mwanamke ni mwanaume. Nachukia ushoga