Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kuku bwege tena aliekosa haya😏😏😏
Kipindi anaanza sisi tulisema tukaonekana wakorofi. Kuwa huyu jamaa siyo riziki na sasa mnaona anatamani awe mwanamke.... Sirini amefanya mangapi ya kutaka awe mwanamke? Ndo maana siku za karibuni nyuzi zake zimekuwa za mipasho kuliko hata wanawake wenyewe.... Kumbe ame ji advance. Ndo basi tena. Kuku Bwege.
 

Aise nilijua ni vita ya juu juu kumbe ipo dipu sana. Watu wa upinde msituharibie wadogo zetu.
 
Hivi mtu kutamani kuwa mwanamke fursa pekee ya muhusika tufikiri anatamani kuingiliwa??

Na mwanamke akisema anawish angekua mwanaume tungesemaje kwa upande wake??

Tume promote uzi within 3 days viewers kuwa 1000+ we are not serious at all. Kuna thread za maana za kutusaidia ku move kimawazo na kifikra wonderful zimekua zikikosa wachangiaji mawazo kuliko nyuzi za kipuuzi kama hizi. Shame.!

For my views, Naona watu wamekua narrow kifikra kupita kiasi.
Huenda muhusika anapenda nafasi za upendeleo ambazo daima watoto na wanawake huzipata. ( Refer Gender Equity and Equality).
Mfano; Katika ajira, ukigongana marks na mwanamke daima atachukuliwa yeye au fursa za mikopo wao ni nyingi kuliko me.
N.k

N.B Kwa upande wangu najivunia kuwa MWANAMUME.
 
Hivi mtu kutamani kuwa mwanamke fursa pekee ya muhusika tufikiri anatamani kuingiliwa??

Na mwanamke akisema anawish angekua mwanaume tungesemaje kwa upande wake??

Tume promote uzi within 3 days viewers kuwa 1000+

Naona watu wamekua narrow kifikra kupita kiasi.
Huenda muhusika anapenda nafasi za upendeleo ambazo daima watoto na wanawake huzipata. ( Refer Gender Equity and Equality).
Mfano; Katika ajira, ukigongana marks na mwanamke daima atachukuliwa yeye au fursa za mikopo wao ni nyingi kuliko me.
N.k

N.B Kwa upande wangu najivunia kuwa MWANAMUME.
mpwayungu village naona umekuja na I'd nyingine
 
Hivi mtu kutamani kuwa mwanamke fursa pekee ya muhusika tufikiri anatamani kuingiliwa??

Na mwanamke akisema anawish angekua mwanaume tungesemaje kwa upande wake??

Tume promote uzi within 3 days viewers kuwa 1000+

Naona watu wamekua narrow kifikra kupita kiasi.
Huenda muhusika anapenda nafasi za upendeleo ambazo daima watoto na wanawake huzipata. ( Refer Gender Equity and Equality).
Mfano; Katika ajira, ukigongana marks na mwanamke daima atachukuliwa yeye au fursa za mikopo wao ni nyingi kuliko me.
N.k

N.B Kwa upande wangu najivunia kuwa MWANAMUME.
Acha blah blah wewe,
 
Nimeona umeogelea msoto tu,sijaona point ukigusia utamu wa kipochi manyoya

basi ungetupumbaza hata kwa kumalizia,Unatuacha wanaume lakini hutousahau

utamu wa kipochi manyoya usioweza linganishwa na chochote chini ya JUA

lakini wewe uko sura mkavuuu as if huna habari na kipochi,daaaah we jamaa wewe

kweli kabisa una wish maisha bila kuchakata,kweliiiiii asee hakika wewe ni Mwanamke nimekubali.
 
Serious kabisa mtu aseme anatamani kuwa mwanamke useme ni jambo la kawaida? Kichwani uko vizuri kweli?.

Mwanaume atamani nafasi za upendeleo halafu uone jambo la kawaida?.
Hivi mtu kutamani kuwa mwanamke fursa pekee ya muhusika tufikiri anatamani kuingiliwa??

Na mwanamke akisema anawish angekua mwanaume tungesemaje kwa upande wake??

Tume promote uzi within 3 days viewers kuwa 1000+ we are not serious at all. Kuna thread za maana za kutusaidia ku move kimawazo na kifikra wonderful zimekua zikikosa wachangiaji mawazo kuliko nyuzi za kipuuzi kama hizi. Shame.!

For my views, Naona watu wamekua narrow kifikra kupita kiasi.
Huenda muhusika anapenda nafasi za upendeleo ambazo daima watoto na wanawake huzipata. ( Refer Gender Equity and Equality).
Mfano; Katika ajira, ukigongana marks na mwanamke daima atachukuliwa yeye au fursa za mikopo wao ni nyingi kuliko me.
N.k

N.B Kwa upande wangu najivunia kuwa MWANAMUME.
 
Serious kabisa mtu aseme anatamani kuwa mwanamke useme ni jambo la kawaida? Kichwani uko vizuri kweli?.

Mwanaume atamani nafasi za upendeleo halafu uone jambo la kawaida?.
Tumetofautiana, wewe kama hutaki yeye anataka, am sure sio yeye pekee wapo wengi wanaohisi kuna fursa za KIUCHUMI wamezikosa kulingana na jinsi yake for both side.


Kwani kuwa mwanamke ni laana?? Au kuwa mwanaume ni laana??
 
Nimeona umeogelea msoto tu,sijaona point ukigusia utamu wa kipochi manyoya

basi ungetupumbaza hata kwa kumalizia,Unatuacha wanaume lakini hutousahau

utamu wa kipochi manyoya usioweza linganishwa na chochote chini ya JUA

lakini wewe uko sura mkavuuu as if huna habari na kipochi,daaaah we jamaa wewe

kweli kabisa una wish maisha bila kuchakata,kweliiiiii asee hakika wewe ni Mwanamke nimekubali.
Kuna maisha bila ngono na inawzekana
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Huku sasa unapotea. Unaweza ukawa umejipatia umaarufu na wafuasi hapa JF Ila visikufanye ukapoteza uwezo wako wa kufikiri.

Manake utakuja kuwaza au kusema hata vile wanawake wanapokatikia naniliu unawaonea donge au unatamani pia.
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
sponsored by Mpwayungu village
 
Back
Top Bottom