Najuta kwa nini sikumsikiliza baba yangu lakini namshukuru Mungu sikuchelewa kuanza kumuelewa and my life was never the same.

Najuta kwa nini sikumsikiliza baba yangu lakini namshukuru Mungu sikuchelewa kuanza kumuelewa and my life was never the same.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Nilimtii, sikumsumbua hata kidogo ila sikumsikiliza na nilimuogopa kuliko kumuheshimu.

Kama baba typical wa kanda ya ziwa ushajua nyumbani ni mwendo wa kwata. Ila alikuwa ananiandaa.

Nilijua ana agenda ya chuki dhidi ya mama, sikujua saikolojia ya mwanamke inamfanya mwanaume anakuwa paranoid, nilichojua ni kumuhurumia mama na kumuwekea roho ngumu baba kwa maana nilihisi baba ametuweka upande wa mwisho wa upendo wake.

Maamuzi ya maisha yangu hayakutaka direction ya baba, kila hatua ya maisha yangu ilikuwa ni ya kushindana na baba yangu, lakini nilifeli hadi hapo nilipoamua kumuenzi baba yangu then maisha yangu ndipo yalipoanza kubadirika.

But now i understand dad, kwanini you are successful, kwanini ulikuwa na style ile ya maisha, kwa nini ulifanya maamuzi fulani.

MORE LIFE MY OLD MAN.

Mwana JF mpende mama yako ila muenzi baba yako.


View: https://youtube.com/shorts/wkEj72oq6U8?si=JbqUPFD_9QOmcpdN
 
Nilimtii, sikumsumbua hata kidogo ila sikumsikiliza na nilimuogopa kuliko kumuheshimu.

Kama baba typical wa kanda ya ziwa ushajua nyumbani ni mwendo wa kwata. Ila alikuwa ananiandaa.

Nilijua ana agenda ya chuki dhidi ya mama, sikujua saikolojia ya mwanamke inamfanya mwanaume anakuwa paranoid, nilichojua ni kumuhurumia mama na kumuwekea roho ngumu baba kwa maana nilihisi baba ametuweka upande wa mwisho wa upendo wake.

Maamuzi ya maisha yangu hayakutaka direction ya baba, kila hatua ya maisha yangu ilikuwa ni ya kushindana na baba yangu, lakini nilifeli hadi hapo nilipoamua kumuenzi baba yangu then maisha yangu ndipo yalipoanza kubadirika.

But now i understand dad, kwanini you are successful, kwanini ulikuwa na style ile ya maisha, kwa nini ulifanya maamuzi fulani.

MORE LIFE MY OLD MAN.

Mwana JF mpende mama yako ila muenzi baba yako.


View: https://youtube.com/shorts/wkEj72oq6U8?si=JbqUPFD_9QOmcpdN

Umeshakua Sasa ,umeoa na jmemjua vyema mwanamke ,hapo Bado Utajua hujui 😁😁
 
Wanaume wengi tunapata utata sana kwenye kumbukumbu za wazee wetu...

Kwahiyo unataka kusema mzee akiwa mkorofi vile, huwezi kumsemesha, kumsogelea, ndo vizuri?

Au ni malezi mabovu yanayojirudia kwa kukaa kwenye vungu za akili zetu, na kujirudia tunapokuwa wababa na sisi?

Sema umeandika kitu kikubwa, hapa mjadala sio wa kitoto....
 
Waefeso 6:4
"Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana".

Kina baba wengi wanadhani ubandidu mwanzo mwisho ndo malezi. Inakujaga kuwa ngumu sana kumbadilisha mtoto akiwa mtu mzima kukujali kama atakavyokuwa akimjali mama yake. Kumlea mtoto kwa adabu na maonyo haimaanishi ndo umweke kwenye hali ya kukuogopa maishani. Vijana wengi huwa watulivu wakiwa kwa wazazi ila wakipata uhuru tu lazima wafanye mabalaa.

Mimi namshukuru sana baba yangu kwa malezi yake. Hakutulea kwa kutudekeza ila pia alikuwa anatumia sana diplomacy kutuelewesha baadhi ya mambo. Nakumbuka miaka ya 90 alikuwa akituchukua kwenda kutazama filamu kwenye majumba ya sinema. Kimsingi uhuru ulikuwepo kiasi chake. Kitu pekee alikuwa na utofauti ni likizo zote kutuandalia programs zake ambazo zilitufanya tusisome kabisa tuitions. Alikuwa against na ishu za tuition na mikesha ya kanisani.
 
Back
Top Bottom