Jamaa anajuta kweli, sio siri na ule msoto wa usafiri wa jiji la Makonda. Kama ulizoea gari ghafla ukawa huna runaweza kupata uchungu kuliko ule wa msiba.
Karibu ofisini kwetu mkuu tukukopeshe gari bila dhamana yoyote. Kulipa ni ndani ya masaa 12.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Corolla hapo una gari au kamkebe ka kukukinga na jua/mvua,
[emoji23][emoji23][emoji23]Karibu ofisini kwetu mkuu tukukopeshe gari bila dhamana yoyote. Kulipa ni ndani ya masaa 12.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa so Mark X ikakuzuzua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28] sasa kaa stendi hadi ushangae na gari mpyaaa ipo home. Unatumia wikiend mitaa ya home tu kwenda kanisani na pub ya karibu. Unaendesha kila dk chache macho yapo kwenye dashboard unaangalia mshale wa mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu huwa wanadharau mtu mwenye gari ndogo...mfano huyu kauza IST anunue mark x...ndoto ikafia kule...mkuu na sisi wenye cresta cc 2000 tupo kundi gan
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana..
Hapo mlangoni kuna mtu ataibiwa simu muda si mrefuDuuhh....hii hali hii...
Mungu tu akufanyie wepesi.....
Hapa ndipo unampa heshima mwanaume mwenye passo yakeView attachment 1044594
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kasimamia vidoleDuuhh....hii hali hii...
Mungu tu akufanyie wepesi.....
Hapa ndipo unampa heshima mwanaume mwenye passo yakeView attachment 1044594
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana...
Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X,,, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X
Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna
Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Passo Starlet March ni Bora zaidi kuliko sie tusie hata na baiskeli.Hahah washkaji wananunua passo/starlet/march/sio kwa kupenda ni ili kuondokana na adha tu ya usafiri hapa jijini maana kushika bomba daily si mchezo,though anajua atakua anapondwa/kuchekwa lkn potelea mbali hahah.
Jf rahaHahah sa utajuaje kama mjomba 'ametusua' kimaisha hahah.
Huyo jamaa anakwambia cresta ndio 'benz' ya mjapan kuna kipindi alitoka nayo dar-kenya-uganda-kigali akarudi nayo mpk dar tena,alivyofika akasema chalii angu ama kweli baada ya Mungu ni mjapan si kwa utamu wa gari hii,nilicheka sana aiseee na sitamsahau 'mnama' kwa sentensi hio,hahah.
Nunua gutaNilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana.
Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X
Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna
Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi niliumis sana...mkuu hebu tusaidie..umefanikiwa kununua walau vigz namba B..?Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana.
Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X
Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna
Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mpaka sasa anamilikiHuu uzi niliumis sana...mkuu hebu tusaidiw..umefanikiwa kununua walau vigz namba B..?
Pole sana..