Najuta kwanini niliuza gari yangu

Najuta kwanini niliuza gari yangu

Kweli kwny ukoo wetu hakuna aliyewahi kupanda lkn kwny ukoo wenu ni bi. Mkubwa wako tu ndo hua anapandishwa na wahindi.

Unajua maana ya Classic car wewe?

Nimekutajia benz naona unapata wenge ngoja nikutaje gari za kawaida ili uzidi kujiona ulivyo fala tu.

Toyota Supra/land cruiser fj40/MR2/corolla gt-s/lexus ls 400 bila shaka ulivyo duanzi pengine hujui hata toyota stout kuna watu wamegoma kuziuza na zinapiga kazi mpk leo fresh kabisaa na very rare.

We tuliza shanga kuna una ki mark X chako uza tu,lkn usilazimishe kila mtu auze chake kwa ushamba wako.
Ww nishekusoma model zote za magari Unazijua lkn kula kwa shemeji.....
 
Ww nishekusoma model zote za magari Unazijua lkn kula kwa shemeji.....
No wonder unaanzishaga thread kila siku unaomba ushauri humu unataka kununua harrier tako la nyani hahah.

Hivi ulianzisha thread humu ukisema toyota harrier G240 ndio DREAM CAR yako sio?hahah aisee

Ushamba ni mzigo sana.
 
No wonder unaanzishaga thread kila siku unaomba ushauri humu unataka kununua harrier tako la nyani hahah.

Hivi ulianzisha thread humu ukisema toyota harrier G240 ndio DREAM CAR yako sio?hahah aisee

Ushamba ni mzigo sana.
Ndo maana nimekwambia ww kula kwa shemeji.....siku Dada yako akiachwa ndo utajua kwanini Toyota harrier linaitwa TAKO LA NYANI


mama_dangote___BYDsERpl3LI___.jpeg
 
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana...

Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X,,, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X

Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna

Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Tumejifunza kupitia wewe

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana nimekwambia ww kula kwa shemeji.....siku Dada yako akiachwa ndo utajua kwanini Toyota harrier linaitwa TAKO LA NYANI


View attachment 1033305
Hahah daah nimecheka sana aisee hahah.

So huyo mama dangote akiwanalo ndo inakuaje?

Kama hujui hata Toyota carina TI nazo zinaitwa tako la nyani na zinaendeshwa na madereva taksi hapa mjini.

Afu kama hujui hizo harrier ni gari zinazoendeshwa na wakina dada warembo hapa mjini,wanaume wamekimbilia kwny Kluger baada ya hizo gari kuvamiwa na wakina mama.

Ila bro umenifurahisha sana,hebu tupia picha nyingine tena hapo.
 
Acha nijitathimini inawezekana JF si jukwaa stahili yangu...hivi kuna wasio na ndinga humu ndani kweli? utasikia wewe huna gari una usafiri !!!
Kama unamiliki hoho ngoja tukuongezee nyanya na vitunguu tupate kachumbari tu mkuu,hahah.
 
Acha nijitathimini inawezekana JF si jukwaa stahili yangu...hivi kuna wasio na ndinga humu ndani kweli? utasikia wewe huna gari una usafiri !!!
Acha kujishaua wewe![emoji1787][emoji1787]...ningekuwa sikujui hapo sawa!

Kijana unamiliki mndinga wa ndoto za vijana wengi ( including me

Sema hunaga mashauzi, yaan ule mnyama ningeukamata Mimi, sio siri dunia ingenitambua!

Kudos mkuu[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo mkuu passo ni pilipili Hoho, Noah ni kitimoto, Lexus ni pepo, TI ni mkebe, etc..
Passo sijui ina nini kuna msela anasema akiiwasha passo yake asubuhi gari inatetemeka balaa mpk anasikia mwili mzima unawasha ila kakianza kutembea wala hutasikia tena.
 
Hahah daah nimecheka sana aisee hahah.

So huyo mama dangote akiwanalo ndo inakuaje?

Kama hujui hata Toyota carina TI nazo zinaitwa tako la nyani na zinaendeshwa na madereva taksi hapa mjini.

Afu kama hujui hizo harrier ni gari zinazoendeshwa na wakina dada warembo hapa mjini,wanaume wamekimbilia kwny Kluger baada ya hizo gari kuvamiwa na wakina mama.

Ila bro umenifurahisha sana,hebu tupia picha nyingine tena hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unamiliki hoho ngoja tukuongezee nyanya na vitunguu tupate kachumbari tu mkuu,hahah.
Anakuzingua huyoo....unakumbuka ile storee nilikupa kuhusu kumuazima co- worker mnyama wa maana job? ( Hatapenda nikitaja aina ya gari lake but siku ile nilikutajia do u remember?)...Basi huyu jamaa ndo huyu![emoji1787][emoji1787]

Sema hajishaui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom