Najuta kwanini niliuza gari yangu

Hahaha ....dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Corolla hapo una gari au kamkebe ka kukukinga na jua/mvua,
 
Kumbe umekula mwenyewe safi tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu kutoka IST mpaka kwenye Mark X utapata shida sana, umezoea kutumia 1L kwa 12KM unataka uende 1L kwa 6-7KM utapata shida sana tuachie wakali wa town tunavuta 3000CC 1L kwa 4.5KM na mambo yanakwenda swalama kabisa...
 
🤣🤣🤣 kweli dunia gunia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa Corolla hapo una gari au kamkebe ka kukukinga na jua/mvua,

You can imagine kila mtu akinunua V8, maisha yangekuwaje.
Yaache maisha yaende kila mbuzi akiwa anakula kwa urefu wa kamba yake.
Wakati unaidharau corrolla kumbuka kuna mtu hana miguu ya kutembea, mwingine ana miguu lakini hana baiskeli, mwingine ana baiskeli lakini hana pikipiki, Mwingine ana pikipiki lakini hana gari walau hata starlet. Mwingine ana corrola lakini hana Prado, V8, Mwingine ana uwezo wa kuwa na kila aina ya gari, lakini hana furaha, ni mpweke. Mwingine ana vyote, ana mke lakini hana mtoto.

And that makes life enjoyable.
 
Mark X ina cc 2500. IST aliyoiuza ina cc 1490. Hilo wese kwa level yake asingeweza
Kweliiiii kabisa. Hii ndio maana yangu. Hapo kuna tofauti ya 1000Cc
Hilo ni gari jingine ,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…