Mentally ya kishamba tu hiyo....hakuna chochoteKikwetu kwetu tunaamini kuuza vitu vyako ulivyotoka navyo mbali ni kukaribisha umaskini bora hata ugawe kuliko kuuza(though kugawa gari ni next to impossible),ingawa sina uhakika kuhusiana na hii dhana lkn naamini kuna ukweli kwny hili.
Usiombe ....uzoee gari mara ghafla huna?[emoji44] Unaweza ugua ugonjwa ambao hata haujulikani!Jamaa anajuta kweli, sio siri na ule msoto wa usafiri wa jiji la Makonda. Kama ulizoea gari ghafla ukawa huna runaweza kupata uchungu kuliko ule wa msiba.
Hahahah ni mwendo wa Crossovers all the way up to full sized VX's and LX'sHata mi siongei kwa ubaya...ila gari za chini jamani sizipendi asee...utafikiri unaburuzwa kwenye lami!
SUV mpango mzima unadunda dunda kama kitenesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombe ....uzoee gari mara ghafla huna?[emoji44] Unaweza ugua ugonjwa ambao hata haujulikani!
At least ujue umeagiza linakuja, unapata moyo ukiwa juani, but gari umeuza na hela ya kununua huna[emoji17][emoji17]..mmmh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni msiba yani, ukikumbuka maisha ya kuchungulia wauza korosho na daimond karanga juani kupitia vioo vyako huku ukila mziki laini ndani full mufindi! Ha ha lazma usage meno!Usiombe ....uzoee gari mara ghafla huna?[emoji44] Unaweza ugua ugonjwa ambao hata haujulikani!
At least ujue umeagiza linakuja, unapata moyo ukiwa juani, but gari umeuza na hela ya kununua huna[emoji17][emoji17]..mmmh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukweli mtupu...kuuza kitu chako ni mkosi mkuuKikwetu kwetu tunaamini kuuza vitu vyako ulivyotoka navyo mbali ni kukaribisha umaskini bora hata ugawe kuliko kuuza(though kugawa gari ni next to impossible),ingawa sina uhakika kuhusiana na hii dhana lkn naamini kuna ukweli kwny hili.
Kikwetu kwetu tunaamini kuuza vitu vyako ulivyotoka navyo mbali ni kukaribisha umaskini bora hata ugawe kuliko kuuza(though kugawa gari ni next to impossible),ingawa sina uhakika kuhusiana na hii dhana lkn naamini kuna ukweli kwny hili.
Ha ha ha ..halafu wenye vibaby Walker wengi wana vitambi!Hahah sa utajuaje kama mjomba 'ametusua' kimaisha hahah.
Huyo jamaa anakwambia cresta ndio 'benz' ya mjapan kuna kipindi alitoka nayo dar-kenya-uganda-kigali akarudi nayo mpk dar tena,alivyofika akasema chalii angu ama kweli baada ya Mungu ni mjapan si kwa utamu wa gari hii,nilicheka sana aiseee na sitamsahau 'mnama' kwa sentensi hio,hahah.
Ni ukweli mtupu...kuuza kitu chako ni mkosi mkuu
Refer mlevi, walevi wanapenda sana kuuza vitu vya ndani ili wakalewe, ulishawahi ona wanareplace?
Dada angu ni aliuza gari ili alipie ada za watoto, akasema atanunua lingine[emoji44][emoji44]...mpaka leo mwaka wa nane full kuungua na jua, na mvua hamna cha gari wala nini, anaumia huyo mpaka analia!
( na anafanya kazi nzuri tu
So ni mkosi kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Hii tabia ninaichukia...halafu mafunguo yenyewe bora yangekuwa na chata la magari adimu....mtu kachomekea vizuri amependeza eti mbele kaning'iniza liufunguo limepaukaaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani akiweka funguo mfukoni utapotea au?mtanisamehe bure...nachukiaaaa hii tabia ya maufungua kwenye luks za suruali.....utafikiri mairizi[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]View attachment 1033240
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tunaumwa kaugonjwa kamojaMimi huwa sina utaratibu wa kuuza kitu changu hata kama nahitaji kingine ntapaki hapo ninunue kikingine ila siuzi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah...unageuka mchawi ghafla!Halafu unawangalia wenye magari kwa jicho baya sana na hii ni automatic.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Ni msiba yani, ukikumbuka maisha ya kuchungulia wauza korosho na daimond karanga juani kupitia vioo vyako huku ukila mziki laini ndani full mufindi! Ha ha lazma usage meno!
Hahah daah hapo kwny kwenda nigeria nimecheka sana aseee,dream car ya msela ni benz S 500 kuanzia ya mwaka 2006 ila anasema itabaki kua dream tu maana hela ya kuhudumia hio gari anaweza kujenga room zake 2 au 3 akawa anakula kodi tu hapa mjini.Hahahah jamaa anainjoy sana lakini thats life mzee. Tuheshimu ni achievement yake and as long as he's having fun no problems mzee. Kila mtu na apendacho bwana mnama...ha ha! Siku akihamia kwenye Mark X ndio anaweza kwenda nayo hata Nigeria!
Hii tabia ninaichukia...halafu mafunguo yenyewe bora yangekuwa na chata la magari adimu....mtu kachomekea vizuri amependeza eti mbele kaning'iniza liufunguo limepaukaaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah bia ni nyoko naziheshimu sana.
Nilikuwa na cash mkononi mkuu, na nilikwambia kabisa nikizubaa hapa hii hela itapukutika...umesahau[emoji16][emoji16][emoji1787]Mhhhh Mbona wewe uliuza na ukaenda leta vipya tena vya UK? au wewe ni miongoni mwa wale wachache?
Mbona wanawake [emoji1787][emoji23] [emoji23][emoji1787]...kwenda hukoowanaume wananign'niza wanawake wanashika mkononi tena wanaweka key holder zinazoreflect mwanga. na hatulii mkaoni mara ataenda kuchukua pochi, taenda tena kutoa magazetri kuweka siti ya nyuma. hata kama ana handbag kubwa kama rambo still funguo ataziweka juu ya meza yaani full show off hadi kinyaaa...