Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Nyokolost kabisa [emoji16][emoji16]...bia zinafilisi, na zinakufilisi utakaponza kulewa, unaanza kutoa ofaa[emoji1787][emoji1787]Hahah bia ni nyoko naziheshimu sana.
Hahah afu hao wa corolla kwa kutoa lift barabarani wako vzr sana hata kama hakujui,ukipanda tu utasikia hii gari usiione hivi ina roho ya paka,anaendelea kukukwambia hapa tukiweka mafuta ya buku 5 yanatufisha mbali saaaana,hahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...jamaa kaongea kwa hisia kali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na cash mkononi mkuu, na nilikwambia kabisa nikizubaa hapa hii itapukutika...umesahau[emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]Ok nimekumbuka vizuri tu jamaa yetu toka nauze Ki nadia chake anaishia kufanya shoping kwenye mitandao hadi huruma 😱
haupotei...ni basi tu ili watoto wa kike waone eti dume lina gari.....[emoji22][emoji22]
Kwanini unanilazimisha niuze?MMentally ya kishamba tu hiyo....hakuna chochote
Mfano una Noah old model unauza M8-9 then unaongezea M20 inakua 28-29 unaingia show room unachukua TAKO LA NYANI apo utakua umeongeza umasikini au?
Ni ukweli mtupu...kuuza kitu chako ni mkosi mkuu
Refer mlevi, walevi wanapenda sana kuuza vitu vya ndani ili wakalewe, ulishawahi ona wanareplace?
Dada angu ni aliuza gari ili alipie ada za watoto, akasema atanunua lingine[emoji44][emoji44]...mpaka leo mwaka wa nane full kuungua na jua, na mvua hamna cha gari wala nini, anaumia huyo mpaka analia!
( na anafanya kazi nzuri tu
So ni mkosi kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa mkuu,mimi nimechagua kutokuuza mkuu nikiweza nitagawa ikishindikana hicho kitu kitakaa home tu kama memory mkuu.Wengi hawapendi kuuza vitu walivyotoka mbali just to preserve their good memories... walivyosota na kadhalika. hakuna uhusiano wowote wa kuuza hivyo vitu na umasikini.
Lakini kama unavyojua na imani zetu za kiswahili... usitoe chenji asubuhi, usimruke mtu, kuwasha kwa kiganja cha mkono, jicho kuchezacheza, kujikwaa mguu wa kushoto na mengine mengi.
Sababu wanaridhika kwa kuning'iniza funguo zao mkuu,hahah.
Inategemea, funguo unaweza haribu kioo cha simu mfukoni,kama ni remote unaweza kua umekaa umeiweka mfukoni ukaiibonyeza bht mbaya ukashangaa imesha unlock milango huko huku wewe huna habari.
Hapa tunaongelea watu wavipato vya kati wakina MARK X ukiwemo na ww unapo nitajia wachgga naona ww ndo mshambaKwanini unanilazimisha niuze?M
Njoo uwaone wazee wa kichaga huku wana ma benz ya mwaka 1970/80's yako ndani tu yakitoka ni jumapili church huku wana Ma range rovers/vx v8/,audi Q7 etc ndio gari za kutembelea kila siku.
Unajua hata maana VINTAGE/CLASSIC CARS wewe?
No wonder unaongelea noah old model/sijui Harrier tako nyani inaonekana unadhani ndio gari za maana hizo.
Mi nakuona we ndio mshamba tu.
Ugonjwa mzuri sana huo.Nadhani tunaumwa kaugonjwa kamoja
Hapa tunaongelea watu wavipato vya kati wakina MARK X ukiwemo na ww unapo nitajia wachgga naona ww ndo mshamba.
Umetoka nnje ya mada nimekuuliza shwali ungejibu kwanza
Izoo...Ma range rovers/vx v8/,audi Q7 naamini unaziona kwa macho tu...katika ukoo wenu hakuna aliewahi kuipanda...
Hahah daah hapo kwny kwenda nigeria nimecheka sana aseee,dream car ya msela ni benz S 500 kuanzia ya mwaka 2006 ila anasema itabaki kua dream tu maana hela ya kuhudumia hio gari anaweza kujenga room zake 2 au 3 akawa anakula kodi tu hapa mjini.
Kweli kwny ukoo wetu hakuna aliyewahi kupanda lkn kwny ukoo wenu ni bi. Mkubwa wako tu ndo hua anapandishwa na wahindi.Hapa tunaongelea watu wavipato vya kati wakina MARK X ukiwemo na ww unapo nitajia wachgga naona ww ndo mshamba
Izoo...Ma range rovers/vx v8/,audi Q7 naamini unaziona kwa macho tu...katika ukoo wenu hakuna aliewahi kuipanda...
Yawezekana ukawa mzuri au mbaya sanaUgonjwa mzuri sana huo.
Kwa Mimi navyojua IST uwa azishuki Bei na Kama uliuza itakua ni kwenye range ya 9m nakuendelea....
Kitu ambacho mark x unapata kwa hata 7m
Unataka kuniambia kwa pesa uliyo uza IST ulikula pesa yote Yani hata ya ka paso (Hoho) pia ulishindwa kukanunua?