Hahah heshima nyingi sana kwake mkuu.,kile chombo kiko njema saaaana tena saana.Anakuzingua huyoo....unakumbuka ile storee nilikupa kuhusu kumuazima co- worker mnyama wa maana job? ( Hatapenda nikitaja aina ya gari lake but siku ile nilikutajia do u remember?)...Basi huyu jamaa ndo huyu![emoji1787][emoji1787]
Sema hajishaui
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaahaaaa a uwiiiiio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Hahah heshima nyingi sana kwake mkuu.,kile chombo kiko njema saaaana tena saana.
Ngoja mimi ninayeishi kwa shemeji(kama nilivyoambiwa mdau pale ) nikamfungulie geti shemeji ameshakuja hahah.
Hahah hata hiyo ni sawa tu..Ha ha ha....mi Sina tako la nyani nina vitz[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah ntawacheki mida kidogo wadau,niko naosha gari ya shemeji hapa asije akamfukuza dada teh teh.Haaaahaaaa a uwiiiiio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nimsikitikie tu
Poa poa..lisafishe fresh asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16]Hahah ntawacheki mida kidogo wadau,niko naosha gari ya shemeji hapa asije akamfukuza dada teh teh.
Hahah hamna noma.Poa poa..lisafishe fresh asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabegi Cha mgongoni ako kakizingua road unakabeba tu unakapeleka garage[emoji1]
Hahaha mkuu hii ni online babaah. Kuwa wahenga wanasema ukiwa maskini humu ni kujitakia. Kuna raia wanapost vipande vya picha wakiwa na mapigo makali ya kipapaa na wanang'oa wachumba kama kawaida. Sishangai kila mtu kuwa na gari virtualy!Acha nijitathimini inawezekana JF si jukwaa stahili yangu...hivi kuna wasio na ndinga humu ndani kweli? utasikia wewe huna gari una usafiri !!!
Hahahah umeua kila kitu baba la babaNdiyo mkuu passo ni pilipili Hoho, Noah ni kitimoto, Lexus ni pepo, TI ni mkebe, etc..
Ha ha haKabegi Cha mgongoni ako kakizingua road unakabeba tu unakapeleka garage[emoji1]
Naam, upo sahihi kabisaMimi huwa sina utaratibu wa kuuza kitu changu hata kama nahitaji kingine ntapaki hapo ninunue kikingine ila siuzi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mkipata ajali wote mnakwisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Alphad ni gari nzur za kifamilia mkiingia ni wote mnatoka,
God is a God of hearts
[emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83]Na mkipata ajali wote mnakwisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app