Najuta kwanini niliuza gari yangu

Hahah heshima nyingi sana kwake mkuu.,kile chombo kiko njema saaaana tena saana.

Ngoja mimi ninayeishi kwa shemeji(kama nilivyoambiwa mdau pale ) nikamfungulie geti shemeji ameshakuja hahah.
 
Hahah heshima nyingi sana kwake mkuu.,kile chombo kiko njema saaaana tena saana.

Ngoja mimi ninayeishi kwa shemeji(kama nilivyoambiwa mdau pale ) nikamfungulie geti shemeji ameshakuja hahah.
Haaaahaaaa a uwiiiiio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha nijitathimini inawezekana JF si jukwaa stahili yangu...hivi kuna wasio na ndinga humu ndani kweli? utasikia wewe huna gari una usafiri !!!
Hahaha mkuu hii ni online babaah. Kuwa wahenga wanasema ukiwa maskini humu ni kujitakia. Kuna raia wanapost vipande vya picha wakiwa na mapigo makali ya kipapaa na wanang'oa wachumba kama kawaida. Sishangai kila mtu kuwa na gari virtualy!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…