chemri
New Member
- Jan 19, 2019
- 3
- 163
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana.
Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X, Alikuwanayo rafiki angu, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST halafu yeye MARK X, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X
Kilichotokea nikafanikisawa kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo. Mpaka sasa sijafanikiwa kununua hiyo MARK X niliyoitamani na sijui nitainunua lini, pesa yenyewe naona giza kwani nimeitafuna.
Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapojiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayokuja imejaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X, Alikuwanayo rafiki angu, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST halafu yeye MARK X, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X
Kilichotokea nikafanikisawa kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo. Mpaka sasa sijafanikiwa kununua hiyo MARK X niliyoitamani na sijui nitainunua lini, pesa yenyewe naona giza kwani nimeitafuna.
Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapojiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayokuja imejaa.
Sent using Jamii Forums mobile app