Najuta kwanini niliuza gari yangu

Najuta kwanini niliuza gari yangu

Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana...

Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X,,, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X

Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna

Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana, wewe umeenda kinyume na utaratibu lazima ukwame. Ulitakiwa utafute hela ya kuagiza hio Mark X yaani CiF, halafu ukishainunua iko kwenye meli unatangaza kuuza hio IST, gari yako ikifika bongo (baada ya mwezi au miezi miwili) unakuwa ushauza hio ist na kupata hela ya ushuru.
 
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana...

Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X,,, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X

Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna

Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahah.. Jamaa post yako inafundisha huku inaburudisha. Pole sana.
Anza kujipanga upya.
 
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana...

Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X,,, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X

Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna

Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu dont lose hope. Cha kufanya njoo Zenji na hizo hela zako zilobaki utapata gari Mark X au GX100 au Verossa. Hizi gari zimeshuka bei hapa milioni 4 au 5 unapata gari nzuri tu yenye kuhitaji marekebisho madogo madogo na ambayo unaweza kuileta Dar bila gharama kubwa.

Yuko jamaa juzi tu kanunua nafikiri mpaka ikifika Dar itakua imegharimu kama mil 6 tu. Ni pm no. Yk nikutumie picha
 
lete iyo mark x nikupe bajaji TVS......utaniongezea na 2m


Sent from my iPhone using JamiiForums
Jamii Forum
IMG-20190210-WA0026.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wabongo tunapenda sifa sana, Mark X hapa mjini unafanyia nini? ENgine kubwa, matumizi ya mafuta makubwa, bei yake kubwa. Unaponunua gari cha kwanza jiulize kwa nini unanunua gari, au hii gari itanisaidia kwa shughuli zipi? 1. Movement kwenda ofisini na mishe za hapa town gari IST ilitosha kabisa. 2. Kama una shughuli kubwa kubwa za pori pori kidogo kama shamba tafuta gari kubwa lenye 4WD.

Pole sana sifa zimekuponza. Mimi nitafia na corolla yangu cc 1500
 
Back
Top Bottom