Najuta! Madada Poa wa Morogoro sio poa kabisa

Najuta! Madada Poa wa Morogoro sio poa kabisa

Tajiri wa matajiri

Senior Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
166
Reaction score
649
Wakuu hawa madada Poa sio Poa kabisa yaani Mimi mkulima wa ufuta ambaye almost miezi mitatu napambana na ufuta wanitapeli na kuniibia madada Poa wa morogoro wale washamba? Kweli simba ni simba hata akipakwa rangi ya pundamilia tu hapa juzi nilikuwa nawasifia madada Poa wa morogoro kumbe siku yangu Ulikuwa Bado?

Aisee baada ya mavuno Niliamua kwenda kuvinjari pale samaki samaki aisee nikamuona chick mmoja amejazia na ana minyama Sana wacha nidate mie mlima mfuta nikamset manzi nikaondoka nae kwwnye mark x yangu mpaka pale lodge x

Nilikuwa na kibegi changu kilikuwa na milioni kadhaa Sasa bwana usiku Mzima Ulikuwa mizagamuano tu kwa kwenda mbele Sasa bwana nilikuwa na kinywaji cha Heineken tulikuwa tunakunywa mule chumbani Sasa nikapitiwa na usingizi nahisi yule dada Poa akanitilia dawa nikalala mazima mpaka Asubuhi kujisachi kwenye begi langu hamna hela hata kidogo Wakuu aisee sio Poa kabisa ila Uzuri pesa nyingine niliweka bank nikangekuwa fambwa ningepigwa pesa zote

Kweli nimeamini simba ni simba tu hata ageuke swala yeye ni simba tu NAJUTA.
 
Unamwamini vipi dada poa??
Hao hata kukukuua kwasababu ya pesa wala haoni shida, kukuitia mwizi upigwe na wahuni hadi ufecau uchomwe moto kwao hilo ni jambo rahisi kabisa.

Kamwe usimwamini dadapoa, umeenda kula mzigo, we kula mzigo tu. Hapo lodge peleka mwili wako na pesa yake kamili tu, vingine acha reception au kwako(hii ni kwa wale beginners) ila mapro wanajua kudeal nao.

Ulivo kolo pro max unaingia lodge na bado mnaendela kugida pombe, bahati yako ulikutana na huyo alikuhurumia angekuwekea ngada au ugoro ukufilie mbali, na gari yako (saa hiyo ni marehemu) hata isingejulikana iko wapi.

Ishi kwa code hasa usiku, kalaghabaho.
 
Unamwamini vipi dada poa??
Hao hata kukukuua kwasababu ya pesa wala haoni shida, kukuitia mwizi upigwe na wahuni hadi ufecau uchomwe moto kwao hilo ni jambo rahisi kabisa.

Kamwe usimwamini dadapoa, umeenda kula mzigo, we kula mzigo tu. Hapo lodge peleka mwili wako na pesa yake kamili tu, vingine acha reception au kwako(hii ni kwa wale beginners) ila mapro wanajua kudeal nao.

Ulivo kolo pro max unaingia lodge na bado mnaendela kugida pombe, bahati yako ulikutana na huyo alikuhurumia angekuwekea ngada au ugoro ukufilie mbali, na gari yako (saa hiyo ni marehemu) hata isingejulikana iko wapi.

Ishi kwa code hasa usiku, kalaghabaho.
Hotel za Moshi na Arusha ukiingia na demu haruhusiwi kutoka mpaka upigiwe simu room kwako utowe go ahead ndio anaruhusiwa kutoka.

Inshort mademu wa Moshi Arusha hawana tabia za wizi, wanakuza utalii kwao.
 
Unamwamini vipi dada poa??
Hao hata kukukuua kwasababu ya pesa wala haoni shida, kukuitia mwizi upigwe na wahuni hadi ufecau uchomwe moto kwao hilo ni jambo rahisi kabisa.

Kamwe usimwamini dadapoa, umeenda kula mzigo, we kula mzigo tu. Hapo lodge peleka mwili wako na pesa yake kamili tu, vingine acha reception au kwako(hii ni kwa wale beginners) ila mapro wanajua kudeal nao.

Ulivo kolo pro max unaingia lodge na bado mnaendela kugida pombe, bahati yako ulikutana na huyo alikuhurumia angekuwekea ngada au ugoro ukufilie mbali, na gari yako (saa hiyo ni marehemu) hata isingejulikana iko wapi.

Ishi kwa code hasa usiku, kalaghabaho.
Next
 
Back
Top Bottom