tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Bro unadhani ungezima leo ungekuwa Dewji?Ilikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu. Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali. Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.
Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu. Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
Utapokelewa mbinguni siku ya mwisho , Dunia tunapita tuIlikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu. Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali. Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.
Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu. Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
Muda wako ulikuwa badoIlikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu. Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali. Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.
Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu. Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
Aiseeee hao jamaa noma kweli nilitaka kuleta Embe zangu from shamba kama Fuso 3 hivi lakini nikapewa mizunguko mireefuu daahKama nafanya kwa Bakhresa yani nitazima na kumuhujumu bila huruma. Utalipaje vibarua elfu nne kwa siku? Na hukosi kuswali mara tano kwa siku?
Kwa tuliofanya migodi ya bongo, hii ni moja ya fikra za kimaskini kupitilizaHuenda walitumwa kukupima wewe... ungeshiriki ungetimuliwa kazi na ungepandishwa kizimbani na jela ungekwenda. Acha Ulofa! Hakuna cha kujutia 😂
Umewahi kufanya job mgodini??Hongera sana. Ulifanya vyema. Ishu ingebumburuka ungekuwa jela sasa hivi na 10m isingesaidia.
Ebu toa mfano wa wachache katika hao wezi mkuuWengi ni waizi mgodini i was there 2021 2022!
Basi endelea kua mpenzi msomaji ili upate lakujifunza mkuu.Sijawahi
Hakuna cha kujifunza wakati maelezo aliyotoa mleta uzi yamekamilika.Basi endelea kua mpenzi msomaji ili upate lakujifunza mkuu.
Mleta uzi ni muongo kwasababu hiyo 2014 mchezo wa off camera ulikua ushapitwa na wakati. Na hata hiyo pesa aliyo itaja ilikua ni kiwango kidogo sana kwa camera turn from the seen.Hakuna cha kujifunza wakati maelezo aliyotoa mleta uzi yamekamilika.
Labda kashafukuzwa kaziShukrani za punda ni mateke....
Kuna kitu kimempa msukumo wa kujutia UZALENDO wake....
Hii sio kweli mkuu, sababu kwa idadi ya camera zilizopo Bulyanhulu pekee basi walizi wangekua wengi zaidi ya wafanyakazi. Na hata control room ingekua kubwa kuliko administration blockUsijaribu hii kitu ndugu yangu, Camera zilizogungwa kiustadi kila kamera ina mlinzi wake so tangu unaisogelea ile ya awali kuipindisha tayari utakua umenaswa. Kuwa mwaminifu daima
Ndugu ninatoa maoni kulingana na uzi ulivyoletwa. Kama kuna mambo mengine ya zaidi bora wewe unayejua ungeelezea. Kinyume na hapo huna uhalali wa kunishauri nikae kimya.Mleta uzi ni muongo kwasababu hiyo 2014 mchezo wa off camera ulikua ushapitwa na wakati. Na hata hiyo pesa aliyo itaja ilikua ni kiwango kidogo sana kwa camera turn from the seen.
Bado nashauri ukae kimya tena mkuu
Umetaja 50 ukanikumbusha kenge moja tena yuko humu. 2013 aliziima camera akaingia ofisi ya watunza fedha akakuta sefu Ina 200M akachukua 50 na hizo 50 zenyewe akazinwa na mtu alie mpa mzigo atoke nao. Nilimwambia wewe ni fala unepiga zote 200M mpaka mtu atakae kuja kufungua sefu azimie akiikuta empty😂😂Milioni kumi ndogo,kama ni 50 miningezima.
Upo sahihi mkuu...🙏Ndugu ninatoa maoni kulingana na uzi ulivyoletwa. Kama kuna mambo mengine ya zaidi bora wewe unayejua ungeelezea. Kinyume na hapo huna uhalali wa kunishauri nikae kimya.