Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Kazungumzia kitu asichojua huyuHii sio kweli mkuu, sababu kwa idadi ya camera zilizopo Bulyanhulu pekee basi walizi wangekua wengi zaidi ya wafanyakazi. Na hata control room ingekua kubwa kuliko administration block