Najuta nikikumbuka nilivyokataa kuzima kamera ili wezi waibe mgodi wa Mzungu

Najuta nikikumbuka nilivyokataa kuzima kamera ili wezi waibe mgodi wa Mzungu

Inawezekana. Nilikuwa pale 2000 hadi 2006 nikasepa, walinzi walikuwa waajiliwa wa KMCL na baadhi yao walikuwa wanaishi Kakola
Haiwezekani mkuu, kuanzia 1997 walinzi walikua wa kampuni mama ambayo iliitwa PLACEDOM kabla ya mwaka 2000 kuitwa KMCL.
Sikuzile kampuni mama ilikua inawaajiriwa wachache sana zaidi palikua na sub contractors kama SKANSKA walio kata Box cut kwaajili ya under ground, Bynecut walio endeleza Underground Development, Ruc waliokua shaft Sinkers, Noremco walioweka slubs zote na hata wakatihuo Process Plant na cctv haikua imejengwa.
Wakati ule walibzi wengi walikua Non Camp residents.
 
Ilikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu. Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali. Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.

Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu. Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
Ulikuwa na umri gani wakati huo?
Na je ni kwanini ulikataa kushiriki wizi huo?
 
Kama nafanya kwa Bakhresa yani nitazima na kumuhujumu bila huruma. Utalipaje vibarua elfu nne kwa siku? Na hukosi kuswali mara tano kwa siku?
Fungua chako ulipe 10k per day
Uone kama itafika popote

Hakuna kiwanda vibarua akapewa 20k labda wawe wachache sana na kazi nyingi ziendeshwe kwa mitambo


Hongera sana kwa uaminifu mtoa post
 
Kama nafanya kwa Bakhresa yani nitazima na kumuhujumu bila huruma. Utalipaje vibarua elfu nne kwa siku? Na hukosi kuswali mara tano kwa siku?
Hakuna aliyelazimishwa aende kufanya kibarua kwa Bakhresa.

Tii mkataba mliokubaliana wa 4k kwa siku

Suala la ibada yake haliingiliani na posho ya 4k per day ya vibarua wake
 
Haiwezekani mkuu, kuanzia 1997 walinzi walikua wa kampuni mama ambayo iliitwa PLACEDOM kabla ya mwaka 2000 kuitwa KMCL.
Sikuzile kampuni mama ilikua inawaajiriwa wachache sana zaidi palikua na sub contractors kama SKANSKA walio kata Box cut kwaajili ya under ground, Bynecut walio endeleza Underground Development, Ruc waliokua shaft Sinkers, Noremco walioweka slubs zote na hata wakatihuo Process Plant na cctv haikua imejengwa.
Wakati ule walibzi wengi walikua Non Camp residents.
Hello Ushimen,
Nakuhitaji chemba,
Plz
 
Baadhi ya manager wa kiafrika kwenye NGO za nje huwa ni wakuda kuliko wazungu mfano unaweza ukatuma maombi ya kazi Mara nyingi sifa unazo hatua zote vigezo vyote umefuata achana na kuajiliwa hautwi kwenye usaili wanajificha kwenye kichaka cha short list.😭😭😭
Punguza lawama mkuu, usipende kulala mika
 
Uzi mzuri ila wahuni wanataka kuugeuza uelekeo.

Mwageni madini ya huko migodini na amsha amsha zake.

Binafsi sina huruma na wawekezaji hasa wa migodini, naamin wanashiriki kuiba madin yetu na wakitulipa kiduchu sana.

Mimi ningekuwa mtoa mada ningekubali ila dau la kuanzia 50m hadi 100m! Kisha najilipua.

Usipojilipua leo usinyoshee kidole wenzako na vijana wadogo watakotusua miaka 5 mbele.
 
Hii sio kweli mkuu, sababu kwa idadi ya camera zilizopo Bulyanhulu pekee basi walizi wangekua wengi zaidi ya wafanyakazi. Na hata control room ingekua kubwa kuliko administration block
Nahisi hauku muelewa Ali maanisha camera Moja Ina watch camera ingine ikiwa na maana....kila kamera na mlinzi wake...... Yaan camera zinavyo setiwa Kila camera inamchunga mwenzake...
Mm NDIO nilielewa ivyo....
 
Andika lugha unayoijua tu ndugu. Ndio kiingereza gani hapo umeandika?
Watu kama nyinyi huwaga mpo kwenye jamii.....ujuaji mwingi....😀😀😃😄
Ndugu Toxic Concotion alinifundisha hii slogan....
“Do not answer a fool according to his folly, or you yourself will be just like him” (Proverbs 26:4)
Nimechagua kunyamaza.
 
Ilikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu. Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali. Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.

Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu. Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
Cha mtu mavi, usiwaze kuiba...
 
Back
Top Bottom