Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
ZitajeUJUE HIZI PESA ZA UJANJA MARA NYINGI ZINA KULETEA CHANGAMOTO TU!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZitajeUJUE HIZI PESA ZA UJANJA MARA NYINGI ZINA KULETEA CHANGAMOTO TU!!!
ZA DHURUMA MFANO ZA URITHI NKZitaje
Duhhhh....ZA DHURUMA MFANO ZA URITHI NK
1. Good People do existGood people are still exists
Nimewai siti mbele dirishani...
[emoji28]Unataka niache ili nisimuhujumu? Haiwezekani unamlipa mtu elfu nne kwa siku.
[emoji1666][emoji106]Huenda walitumwa kukupima wewe... ungeshiriki ungetimuliwa kazi na ungepandishwa kizimbani na jela ungekwenda. Acha Ulofa! Hakuna cha kujutia [emoji23]
DUUUH ... inaaminika pesa za madini dhahabu, almasi nk ni za laana usipokuwa makini zinakufanya vibayaDuhhhh....
Mkuu hapa tupo kwenye uzi wa mgodini na mawe ya dhahabu.
Hatupo kwenye kudhulimu na mirathi...🤣🤣
Ulifanya jambo jema mkuu wala hupaswi kujuta chochoteIlikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu, Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali.
Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.
Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu.
Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
Wengi nawajua walizipata na leo wanamaisha poa na walio thubutu kuingia kwenye biashara wamefanikiwa pia.DUUUH ... inaaminika pesa za madini dhahabu, almasi nk ni za laana usipokuwa makini zinakufanya vibaya
Yani hakimu amfunge Mtanzania mwenzake jela kwasababu ya Mzungu ambao wametesa Babu zetu na mpaka leo hii wanapora mali zetuHongera sana. Ulifanya vyema. Ishu ingebumburuka ungekuwa jela sasa hivi na 10m isingesaidia.
WEWE UTAKUWA MTU WA MAABARA TU , TUULIZE SISI WATU WA FIELD!!!!!!!Wengi nawajua walizipata na leo wanamaisha poa na walio thubutu kuingia kwenye biashara wamefanikiwa pia.
Mkuu ebu ifike waTanzania watambue kwamba kazi za migodini ni kazi halali kama kazi yeyote. Na upigaji wa migodini sio kwenye dhahabu tu, bali upo kila idara kuanzia Procurement, Administration, Store, Subcontractors pia pamejaa rushwa kama sehem nyingine yeyote.
Na hakuna mahusiano kati ya pesa ya migodini na uchawi ama ushirikina maana hizo ni tabia za mtu binafsi
Ni hakimu anamfunga mtu au sheria?Yani hakimu amfunge Mtanzania mwenzake jela kwasababu ya Mzungu ambao wametesa Babu zetu na mpaka leo hii wanapora mali zetu
Jazia nyama kidogo ili tunufaike sote Kaka.Baadhi ya manager wa kiafrika kwenye NGO za nje huwa ni wakuda kuliko wazungu mfano unaweza ukatuma maombi ya kazi Mara nyingi sifa unazo hatua zote vigezo vyote umefuata achana na kuajiliwa hautwi kwenye usaili wanajificha kwenye kichaka cha short list.[emoji24][emoji24][emoji24]
Ado upo Hapo kwenye sisitivii au wamekupandisha cheo au shaharaa.....Ilikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu, Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali.
Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.
Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu.
Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
sio kweli.zina laana kivipi na zinakufanya vibaya kivipi,fafanua?DUUUH ... inaaminika pesa za madini dhahabu, almasi nk ni za laana usipokuwa makini zinakufanya vibaya
Hili ndilo janga la mwafrika...Ilikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu, Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali.
Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.
Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu.
Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
Tukikutia mbaroni tunakudumbukiza kwenye boilerKama nafanya kwa Bakhresa yani nitazima na kumuhujumu bila huruma. Utalipaje vibarua elfu nne kwa siku? Na hukosi kuswali mara tano kwa siku?
Naijua mining for almost 22 good years, tena nikiwa kwenye production operations na sio supporting department.WEWE UTAKUWA MTU WA MAABARA TU , TUULIZE SISI WATU WA FIELD!!!!!!!