Najuta nikikumbuka nilivyokataa kuzima kamera ili wezi waibe mgodi wa Mzungu

Najuta nikikumbuka nilivyokataa kuzima kamera ili wezi waibe mgodi wa Mzungu

Wengi ni waizi mgodini i was there 2021 2022!
Wezi wapo kila mahali

Kuna watu kila siku wanaiba fedha za

Umma na wanatusumbua mtaani

Ukipata chance piga,ila lazima u calculate risk

Ova
 
Tukisema watu weusi hatuna akili tunapopolewa mawe.
Hatuaminiki. Nashangaa wachache wanaomsifu. Mleta uzi ulifanya sahihi.
Daima kuwa muaminifu, janjajanja si nzuri. Na hukupaswa kusema unajutia.
Tuwe waaminifu tunapoaminiwa.
Kama unaona unachokipata kidogo jitutumue nawe upate hicho kingi.
 
Tukisema watu weusi hatuna akili tunapopolewa mawe.
Hatuaminiki. Nashangaa wachache wanaomsifu. Mleta uzi ulifanya sahihi.
Daima kuwa muaminifu, janjajanja si nzuri. Na hukupaswa kusema unajutia.
Tuwe waaminifu tunapoaminiwa.
Kama unaona unachokipata kidogo jitutumue nawe upate hicho kingi.
Mkuu....
Kuna baadhi ya michakato hufanyika kwenye utafutaji ama wizi, hata ukiwemo kwenye mchakato na ukakataa kujihusisha bado itakuhusu tu.
Kwamfano, mkuu wa kitengo flani anapo anzisha mchakato wa upigaji wakiwa na makubakiano na wakubwa wenzie, then wewe mtu wa chini kabisa unapo shtukia na unaenda kumueleza boss (security manager) kwamfano, then boss anakuambia basi utulie atalifanyia kazi, then baada ya dakika 10 unakuja kuhamishwa eneo lile la kazi na analetwa mwingine..... wewe hapo unajifunza nino??
 
Wezi wapo kila mahali

Kuna watu kila siku wanaiba fedha za

Umma na wanatusumbua mtaani

Ukipata chance piga,ila lazima u calculate risk

Ova
Hili neno nilikua napenda sana kulitumia miaka flani kwamba..... Usije ukajidanganya kumhurumia bepari, maana siku litakapo kukuta jambo bepari hawezi akawa na huruma na wewe abadan...🤨
Migodini kuna zile pigo za kwamba tukio linapo tokea na ikatokea umetajwa, ama ulikua 10 meters around..... basi utahusishwa moja kwa moja na utafukuzwa kazi hata kama hawana ushahidi ulio jitosheleza.
 
Mkuu....
Kuna baadhi ya michakato hufanyika kwenye utafutaji ama wizi, hata ukiwemo kwenye mchakato na ukakataa kujihusisha bado itakuhusu tu.
Kwamfano, mkuu wa kitengo flani anapo anzisha mchakato wa upigaji wakiwa na makubakiano na wakubwa wenzie, then wewe mtu wa chini kabisa unapo shtukia na unaenda kumueleza boss (security manager) kwamfano, then boss anakuambia basi utulie atalifanyia kazi, then baada ya dakika 10 unakuja kuhamishwa eneo lile la kazi na analetwa mwingine..... wewe hapo unajifunza nino??
Huu Uzi ulinifanya nipigwe ban
 
Pole sana mkuu, sometimes try to control yourself hapa ndani....😂 maana wakatibmwingine pamejaa maudhi hata unaweza ukatamani umchape mtu khelbu...😊
Nakumbuka nilitukana 😃😃 Baada ya hapo huu Uzi ndo nakuja kuuona tena
 
Maamuzi Sahihi sana hayo Wala siyo ya kujutia
Alafu leo anaishi maisha magumu yalio jaa ufukara kwasababu tu "alijifanya mzalendo"...... then kesho anakuja kukasirika eti bandari imeibiwa na dipii....🤣🤣
 
Unataka niache ili nisimuhujumu? Haiwezekani unamlipa mtu elfu nne kwa siku.
Shehe Said hawezi lipa sh.4,000 kwa siku.
Lazima ''mtu kati'' wanachakachua na kumpa report ya uwongo.
Tena sasa hivi KONTAWA ni Mohamed amerudi toka Uganda,huyu anajali sana maslahi ya wafanyakazi.
AMINI KWAMBA LITAFANYIWA KAZI.......Kwani upo kitengo gani mkuu?
 
Mkuu....
Kuna baadhi ya michakato hufanyika kwenye utafutaji ama wizi, hata ukiwemo kwenye mchakato na ukakataa kujihusisha bado itakuhusu tu.
Kwamfano, mkuu wa kitengo flani anapo anzisha mchakato wa upigaji wakiwa na makubakiano na wakubwa wenzie, then wewe mtu wa chini kabisa unapo shtukia na unaenda kumueleza boss (security manager) kwamfano, then boss anakuambia basi utulie atalifanyia kazi, then baada ya dakika 10 unakuja kuhamishwa eneo lile la kazi na analetwa mwingine..... wewe hapo unajifunza nino??
Barrick Bulyanhulu nasikia kuna Sekeseke na sintofahamu kwa sasa ,kuna wizi mkubwa umejulikana humo ndani kwa departments nyingi kama finance ,Hr, capital projects nk
Hadi watu wameanza kupunguzwa
 
Back
Top Bottom