Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udugu wetu hauwezi vunjika mkuuChochote ambacho tutakifanya maadam tukimalizana undugu urudie
Wezi wapo kila mahaliWengi ni waizi mgodini i was there 2021 2022!
Upo mwingi kuanzia contractors hadi barrick wenyewe nikipata muda ntawaelezea.Ebu toa mfano wa wachache katika hao wezi mkuu
Hongera sana mkuu kwa kuyachakata machaka yote makubwa ya migodi kwenye hii nchi yetu pendwa, yenye kila aina ya matukioNimefanya kwenye migodi mikubwa mitatu hapa bongo, lakini sikuwahi na sintowahi kuwa na fikra kama hizi kwa bepari
Mkuu....Tukisema watu weusi hatuna akili tunapopolewa mawe.
Hatuaminiki. Nashangaa wachache wanaomsifu. Mleta uzi ulifanya sahihi.
Daima kuwa muaminifu, janjajanja si nzuri. Na hukupaswa kusema unajutia.
Tuwe waaminifu tunapoaminiwa.
Kama unaona unachokipata kidogo jitutumue nawe upate hicho kingi.
Hili neno nilikua napenda sana kulitumia miaka flani kwamba..... Usije ukajidanganya kumhurumia bepari, maana siku litakapo kukuta jambo bepari hawezi akawa na huruma na wewe abadan...🤨Wezi wapo kila mahali
Kuna watu kila siku wanaiba fedha za
Umma na wanatusumbua mtaani
Ukipata chance piga,ila lazima u calculate risk
Ova
Huu Uzi ulinifanya nipigwe banMkuu....
Kuna baadhi ya michakato hufanyika kwenye utafutaji ama wizi, hata ukiwemo kwenye mchakato na ukakataa kujihusisha bado itakuhusu tu.
Kwamfano, mkuu wa kitengo flani anapo anzisha mchakato wa upigaji wakiwa na makubakiano na wakubwa wenzie, then wewe mtu wa chini kabisa unapo shtukia na unaenda kumueleza boss (security manager) kwamfano, then boss anakuambia basi utulie atalifanyia kazi, then baada ya dakika 10 unakuja kuhamishwa eneo lile la kazi na analetwa mwingine..... wewe hapo unajifunza nino??
Pole sana mkuu, sometimes try to control yourself hapa ndani....😂 maana wakatibmwingine pamejaa maudhi hata unaweza ukatamani umchape mtu khelbu...😊Huu Uzi ulinifanya nipigwe ban
Nakumbuka nilitukana 😃😃 Baada ya hapo huu Uzi ndo nakuja kuuona tenaPole sana mkuu, sometimes try to control yourself hapa ndani....😂 maana wakatibmwingine pamejaa maudhi hata unaweza ukatamani umchape mtu khelbu...😊
Alafu leo anaishi maisha magumu yalio jaa ufukara kwasababu tu "alijifanya mzalendo"...... then kesho anakuja kukasirika eti bandari imeibiwa na dipii....🤣🤣Maamuzi Sahihi sana hayo Wala siyo ya kujutia
kwenye hiyo kazi anayolipa elf4 umepga hesabu yeye anaingiza bei gan kama faida?Kama nafanya kwa Bakhresa yani nitazima na kumuhujumu bila huruma. Utalipaje vibarua elfu nne kwa siku? Na hukosi kuswali mara tano kwa siku?
Shehe Said hawezi lipa sh.4,000 kwa siku.Unataka niache ili nisimuhujumu? Haiwezekani unamlipa mtu elfu nne kwa siku.
Barrick Bulyanhulu nasikia kuna Sekeseke na sintofahamu kwa sasa ,kuna wizi mkubwa umejulikana humo ndani kwa departments nyingi kama finance ,Hr, capital projects nkMkuu....
Kuna baadhi ya michakato hufanyika kwenye utafutaji ama wizi, hata ukiwemo kwenye mchakato na ukakataa kujihusisha bado itakuhusu tu.
Kwamfano, mkuu wa kitengo flani anapo anzisha mchakato wa upigaji wakiwa na makubakiano na wakubwa wenzie, then wewe mtu wa chini kabisa unapo shtukia na unaenda kumueleza boss (security manager) kwamfano, then boss anakuambia basi utulie atalifanyia kazi, then baada ya dakika 10 unakuja kuhamishwa eneo lile la kazi na analetwa mwingine..... wewe hapo unajifunza nino??