Don Vill
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 2,249
- 5,674
Baada ya Acacia kuachia uongozi watu weusi chini ya operator Landgold imekuwa vituko sana , sisi watu weusi ni wezi mno .
Sasa angalia mpaka watu wanaiba wanaficha mabilioni tena senior managers Tu .
Mpaka wanahatarisha maslahi ya wafanyakazi wengine hasa waliokuwa chini ya contractors Maana contractors
WA drilling nk wanang'oa mashine kabisa na kupunguza wafanyakazi ,hii sio indication nzuri ,tabia za kipuuzi hizi
Sasa angalia mpaka watu wanaiba wanaficha mabilioni tena senior managers Tu .
Mpaka wanahatarisha maslahi ya wafanyakazi wengine hasa waliokuwa chini ya contractors Maana contractors
WA drilling nk wanang'oa mashine kabisa na kupunguza wafanyakazi ,hii sio indication nzuri ,tabia za kipuuzi hizi