Mume wangu kwanini umenisaliti,Ni kipi ulichokosa kwangu?roho inaniuma sana,nimeishi na wewe kwa upendo wangu wote,Nimejiheshimu na kuutunza mwili wangu kwa ajili yako,Sikutegemea kuwa kuna siku ungenisaliti,Nashukuru sana kwa uliyonitendea.
mmmh...kwakuwa bado ni wadogo,funguka na mtaarifu mkeo ukweli... Atachukia mara ya kwanza,kama ana moyo wa imani eventually ataelewa kama watoto hawana hatia.. Mtaarifu mkeo kaka.
kiongozi mi sina ushauri!nikupongeze tu kwa kutoa mapacha!hivi kutoa mapacha ni kipaji,karama,maarifa au bahati?
Mamii ilikuwa rahisi kwa kuwa huyo mtoto ulimkuta to be frank nizungumze nikiwa ni mwanamke ni ngumu sana kukubali kulea mtoto aliyekukuta.maana kupitia kwake unauona uovu wa mumeo,kupitia kwake unjiona labda pengine kuna sehemu hukukamilika,kupitia kwake unazidi kujihisi una mapungufu si unajua siye wanawake tunavokimbilia kujilaumu katika kila makosa ya waume zetu,so please tusilinganishe mtoto wa nje ya ndoa na mtoto wa kabla ya ndoa hawa ni watoto tofaut KABISA,na justification zake pia ni tofauti,mimi mume wangu aniletee hata watoto kumi ambao aliwapata kabla ya kunijua mimi nitawalea maana inawezekana mimi ndiye sababu ya mama yao kuachwa,lakini walio chini ya umri wa ndoa yangu please!mwanaume anapaswa kuwa na busara sana tena sana PLUS MAOMBI!vinginevyo akiendekeza zile za kidume dume za "HAYAISHI,YANI BADO UMEKASIRIKA TU,MKE WANGU SI UNISAMEHE,MBONA HATA KAKA NAE ANA MTTOT MWINGINE NA HAJAMWAMBIA MKEWE SI BORA MI NIMESEMA,!''mambo yanaweza kuwa mabaya sana.nimejaribu kuvaa viatu vya huyo mke though najua siwezi kuimagine atareact vipi!
nafikiri hujanielewa nimeta onyo kabisa kwamba huyu ni wa mashtuzi ila nilitaka kuonyesha tu aina ya busara ambayo inaweza kutumika na ndio maana nikasema simwambii afanye hivi.
Wadau nashukuru sana tena sana tu kwa ushauri wenu, nimefarijika sana kwa namna watu walivyotoa ushauri kiroho safi,
Kwa sasa natumia simu inanizengua, nakosa wasaa mzuri wa kurespond baadhi ya post
Hata hivyo wengi wanadhani ni kijijini, ukweli ni kwamba sio kijijini ni mjini yaani makao makuu ya mkoa
Msione nipo kimya, napitia kila bandiko kwa mapana na marefu yake na bado nipo nakaribisha mawazo zaid kabla ya kuchanganya na zakwangu
Mbarikiwe sana
mara nyingi sana
binadamu tunakuwa na kawaida ya kuona 'matatizo' yetu kama makuubwa sana
kumbe wapi....
ni madogo mno.......ukiyakubali na kuyachukulia kuwa ni madogo
Ongea na mkeo taratiibu
nenda nae kwa step......
1. hatua ya kwanza mwambie kuwa ulitoka nje.....na uombe msamaha
2.hatua ya pili jifanye huna uhakika kuwa huyo binti alizaa watoto wako au la
unataka ku find out
3.hatua ya tatu....unamwambia intention yako ya 'kulea watoto kama ukithiitisha ni wako'
<br>
<br>Hata mimi ni mwanaume na nimeoa na mke pia lakini siwezi kutetea hili. Haya ndio yanasababisha watoto wa mitaani na hata magonjwa kwanini tusiwewaaminifu ili tusivuruge ndoa zetu? Hapo iwe isiwe mke wake lazima atajua kama si leo kesho ataficha mpaka lini? ujinga wa leo ni maafa ya kesho
Ndahani mbona wanitenda hivyo mwana wa mwenzio..........
Let me fafanua basi wanawake siku hizi wanakazi nzuri, wanamikwanja kwa sana, so kumtisha eti atakosa pa kwenda au atashindwa maisha ni kujidanganya hapo cha muhimu ni huyo mwanamke kukubali matokeo tu MWANAUME WA PEKE YAKO UTAMTOA WAPI SIKU HIZI???
Keleuuuuuwiiiiiii....D.A....apo kwenye RED......ndo tuseme the oppossite is also true?? Twafwa....
Narudia kusema,hujaua mtu,kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya mkeo ni jambo la kawaida kabisa na usiwe na hofu nawala usidhanie mkeo akijua eti atakuacha,hakuna kitu kama hicho. Relax ni mapito tu akijua atanuna mwisho atazoea.Wadau nashukuru sana tena sana tu kwa ushauri wenu, nimefarijika sana kwa namna watu walivyotoa ushauri kiroho safi,
Kwa sasa natumia simu inanizengua, nakosa wasaa mzuri wa kurespond baadhi ya post
Hata hivyo wengi wanadhani ni kijijini, ukweli ni kwamba sio kijijini ni mjini yaani makao makuu ya mkoa
Msione nipo kimya, napitia kila bandiko kwa mapana na marefu yake na bado nipo nakaribisha mawazo zaid kabla ya kuchanganya na zakwangu
Mbarikiwe sana