ASilimia kubwa hiz ishu huwa mnaleta hata sio serious.
Huwez ukawa na muda wa kuandika hapa wakati hujui hata nin hatua za kuchukua ku fix issue.
Juz kat nilikutana na sintofaham ndani ya nyumba , na ile katika kuwaza na kuwazua nin cha kufanya ndio likanijia wazo kuwa hiv hawa wanaoandikaga ishu zao private hapa huwa wanapata nguvu wapi.. sio kwamba hakuna muda wa kuandika ila tu reasoning ya kawaida inakataa kabisaa na kujiliwa na mawazo yale ya "niandike THEN WHAT??".. HOW is t going to help resolving the matter???.
"Okay hata kama kanikosea hiv, why should i expose her ?? Hata kama hawamjui, wapo wanaonijua mimi, why should i embarrase myself??
Is it ethical?? Huu muda naandika kuhusu yeye na mimi kwann nisiurumie kuzungumza nae kuhusi hili suala??
Nika conclude hapa jukwaan mostly zinakuja chai.. au ukiona hivyo basi ni memory ya muda mrefu sana ambayo ilishapatiwa ufumbuz ila tu mtu anajaribu ku share experience like how would people have reacted if they were in his/her position...