Najutia sana jambo hili

Pesa kiasi gani hicho ambacho sina? Otherwise, hujafikiri vizuri.
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
Unaweza kuwahudumia wore ipasavyo au baba jina?
 
Mama zao wote ni wabaya, wewe tu ndo una tabia nzuri.

Mwisho mnakuja kulala na watoto wenu wa kuzaa.... .... ... nitukane ila it's fact.
Ajaongelea ubaya wa mama zao, anaishi na watoto wake. Tuliaz soma mada, hangia.
 
Kati ya hao watatu kuna wa kike hapo????
 
Unaisikiliza mijitu mipumbavu?Je,ungekuwa haujapata mtoto kwa umri huo wangesemaje?Wangekwambia weye ni "hamisi"!Usiwasikilize.Fanya yako.
 
Ziba maskio hata me na watatu kila mmoja mamake and i dont care abt people
 
Wanaume sijui tumekuwaje.
Kuna wadada Wana watoto 5 kila mtu baba yake na hawajutii.
Mwanaume unajuta!?
Khaaa,
 
Kuna rafiki yangu hivyo hivyo, ila yeye ana uwezo mzuri/mkubwa na anawalea kwake, anachofanya anachukua ndugu wa kike (shangazi wa watoto) anakuja kuishi na watoto kwa muda akiondoka kama amepata mishe zingine anamruhusu aende. (jamaa amefanikiwa kimaisha ila ndugu zake wengi wapo kijijini huko mbeya) ndio maana huwa akiitisha hakosi mtu wa kuja kuishi na watoto wake.

Ukishakosea umekosea, lazima ukubali watoto wako kulelewa na watu tofauti kwa nyakati tofauti.

Ushauri mwingine, unaweza kuwalea wewe na wajilee pia wenyewe, given muda mwingi wanakua shule labda wanasoma day schools, wakirudi mkubwa anawaguide wenzake vya kufanya ukisaidiana nae, wafundishe kujitegemea mapema. Kwa njia hii watapata shida fulani fulani lakini wataenjoy kuishi na wewe na kwa kiasi kikubwa watakua na bond na wewe.

Usijutie imeshakua, ila ukiopt njia ya pili jitahidi kutokuzileta mbususu nyumbani, watoto wa siku hizi ni waelewa, ukiwaambia kwa upendo wanaelewa ni kwanini hauishi na mama zao, na uwaruhusu mara chache kwenda waliko mama zao, watakua wakiwa huru na hawarajenga chuki na mzazi yeyote kati yenu.

Ila wanaJF mko biased sana, sijaona mumpopoe mawe huyu single father kama mfanyavyo kwa single mothers, punguzeni bias na bitterness.
 
Ungemchukua yule wa Gairo, tulikuwa tunamwita Choanocyte, unamkumbuka?
 
Dah...Inatafakarisha. Wanaume msitawanye tawanye sperms hovyo hovyo. Raha Ya tendo dk chache gharama Yake ni life long.

Sononi/depression/guilty
 
Sioni tatizo kubwa sana hapo,,,,tatizo ninalohisi hapo mkuu ni hela tu tafuta hela hilo sio tatizo hata kidogo,,,,kuna watu wana watoto kama hao au zaidi ya hao mfano mmiliki wa e-fm majizzo ana watoto wa 3 wakiume then kaoa muigizaji lulu na maisha yanaienda fresh tu,,,,aya twende kwa mzee diamond platinumz kila E.Africa amelisha anawatoto kama wa 5 njee na bado anayafurahia maisha dmx marekani amefariki kaacha watoto 15 ,,ney wa mitego ana watoto kama 6 hivi na wote anaish nao fresh tu

Brother kikubwa hapo tafuta pesa tu,,,watu wanalea hadi watoto kumi yatima na wanaoa,,,sembuse hao damu zako tatu tu,,,,

Eb fikiria shehe alioa wake 4 kila watoto na mama yao na maisha yakaenda fresh tu ilimradi anauwezo wa kuwatunza

umetuangusha wanaume yani hapo unaweza ukaongeza wengine hata wawili then unaoa fresh tu ilimradi pesa ziwepo mkuu
 
Ongeza wengine
 
Ondoa shaka ww kuna jamaa yangu anao watoto 12 mama wa mtoto wa 12 ndio anaishi nao wengine wanaleleqa na mama zao na anatoa matumizi kama kawa! Relax
 
Dah balaaa hili. Yaani wote wake za watu na wamewaacha watoto zao. Kweli hao wanawake ni akili ndogo
Kiongozi unakiangusha chama. Huwezi kuingizwa cha kike mchana na wajumbe wakikuona
 
Ulicheki DNA kujiridhisha? Kuna mzembe mwenzio kitaa huku anatusomeshea wanetu.
 
Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…