Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
πππππππΆπΌββοΈπΆπΌββοΈPesa kiasi gani hicho ambacho sina? Otherwise, hujafikiri vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππΆπΌββοΈπΆπΌββοΈPesa kiasi gani hicho ambacho sina? Otherwise, hujafikiri vizuri.
Ajaongelea ubaya wa mama zao, anaishi na watoto wake. Tuliaz soma mada, hangia.Mama zao wote ni wabaya, wewe tu ndo una tabia nzuri.
Mwisho mnakuja kulala na watoto wenu wa kuzaa.... .... ... nitukane ila it's fact.
Unaisikiliza mijitu mipumbavu?Je,ungekuwa haujapata mtoto kwa umri huo wangesemaje?Wangekwambia weye ni "hamisi"!Usiwasikilize.Fanya yako.Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Ungemchukua yule wa Gairo, tulikuwa tunamwita Choanocyte, unamkumbuka?Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Sioni tatizo kubwa sana hapo,,,,tatizo ninalohisi hapo mkuu ni hela tu tafuta hela hilo sio tatizo hata kidogo,,,,kuna watu wana watoto kama hao au zaidi ya hao mfano mmiliki wa e-fm majizzo ana watoto wa 3 wakiume then kaoa muigizaji lulu na maisha yanaienda fresh tu,,,,aya twende kwa mzee diamond platinumz kila E.Africa amelisha anawatoto kama wa 5 njee na bado anayafurahia maisha dmx marekani amefariki kaacha watoto 15 ,,ney wa mitego ana watoto kama 6 hivi na wote anaish nao fresh tuNamshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Ongeza wengineNamshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Huwezi jua labda mwana kauziwa vibudu kwenye virobaDuh kwa hiyo wee ulikuwa unaweka tuu imooooπ€£π€£π€£π€£
Ondoa shaka ww kuna jamaa yangu anao watoto 12 mama wa mtoto wa 12 ndio anaishi nao wengine wanaleleqa na mama zao na anatoa matumizi kama kawa! RelaxNamshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Kiongozi unakiangusha chama. Huwezi kuingizwa cha kike mchana na wajumbe wakikuonaDah balaaa hili. Yaani wote wake za watu na wamewaacha watoto zao. Kweli hao wanawake ni akili ndogo
Ulicheki DNA kujiridhisha? Kuna mzembe mwenzio kitaa huku anatusomeshea wanetu.Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.
Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Kivipi mwanawaneKiongozi unakiangusha chama. Huwezi kuingizwa cha kike mchana na wajumbe wakikuona