Najutia sana jambo hili

Najutia sana jambo hili

Nina watoto wawili kila mmoja na mama ake.
Lengo ni kupata watoto 4

Mwakani nitapata wa3 huyu nae atakuwa na mama ake.

Tuendelee kutafuta pesa za kulea watoto wetu na ili waje kurithi..!!!

#YNWA
Duuu,,,vipi kuhusu malezi, unaishi nao au wapo na mama zao?
 
Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi.

Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Lea wanao hao ndio future yako
 
Dah balaaa hili. Yaani wote wake za watu na wamewaacha watoto zao. Kweli hao wanawake ni akili ndogo
Akili kubwa ni ipi mkuu au ww ulitakaje yaan baada ya kuzaa na jamaa wajikunyate kisa wamezaa!! Na jamaa hakuona kat yao anafaa kuoa hizo ss ni shida zake ila wametokea wanaume wamewaona katkat ya kuzalishwa bila ndoa lkn bado wanafaa kuwa wake za watu!!
Kumbe mnapenda kuzalisha na kuacha half mnaanza kuwaponda single mamaz.
 
Acha kujiona hivyo kwa maana kabla yakumwaga radhi ulikuwa unafahamu hili litakuja kunicost kwa sasa huwezi oa upo na watoto wako na mama wakambo atawatesa vuta subira wanze kujitegemea uoe kama mrema akutengenezee juice kwa upendo
 
Kuna mtu hapo juu kasema pambana uwalew kimaadili..maadili which..maadili who..maadili what??
Kazi ya malezi ni ya mama..unae mwanamke anaeweza kulea hao??

Kabla hujafanya jambo kaa chini hesabu gharama yake. Mkuu sikufichi safari ya watoto ina mengi. You need a woman..a mother to the kids. Awalee katika unyoofu. Shida ni je nani atakaeweza...anahitajikaa very strong entity kuubeba huu msalaba. Ila kama unaweza ingia kufunga na kuomba. Unahitaji mafunuo ya kimbingu kumpata mwanamke mwema sio mwanamke muigizaji. Maana mwingine atakuigizia weeee mwisho baadae awe mwiba kwa hao watoto.

Inabidi ugharamike kiroho, kiuchumi, kimwili ili hao watoto wakue vizuri.
 
Kuna mtu hapo juu kasema pambana uwalew kimaadili..maadili which..maadili who..maadili what??
Kazi ya malezi ni ya mama..unae mwanamke anaeweza kulea hao??

Kabla hujafanya jambo kaa chini hesabu gharama yake. Mkuu sikufichi safari ya watoto ina mengi. You need a woman..a mother to the kids. Awalee katika unyoofu. Shida ni je nani atakaeweza...anahitajikaa very strong entity kuubeba huu msalaba. Ila kama unaweza ingia kufunga na kuomba. Unahitaji mafunuo ya kimbingu kumpata mwanamke mwema sio mwanamke muigizaji. Maana mwingine atakuigizia weeee mwisho baadae awe mwiba kwa hao watoto.

Inabidi ugharamike kiroho, kiuchumi, kimwili ili hao watoto wakue vizuri.
Strong point,big up mkuu,hakika umeandika
 
Kwajinsi wanaume tulivyojitanabahi humu nakulisupport hili jambo, basi naomba iwe na mwisho kuwakashifu single mothers na kusema wanawake wasikuizi siwakuwaoa. Tunatengeneza watoto wasio na malezi ya mzazi mmoja na mara nyingi huwa baba mwishowe huishia kuwa mashoga na majambazi halafu tunajifanya sisi vidume hatuupendi ushoga kumbe tumeutengeneza. [emoji23][emoji23]kweli akili za mtu mweusi hazihusishi logic na future consequences.
 
Kwajinsi wanaume tulivyojitanabahi humu nakulisupport hili jambo, basi naomba iwe na mwisho kuwakashifu single mothers na kusema wanawake wasikuizi siwakuwaoa. Tunatengeneza watoto wasio na malezi ya mzazi mmoja na mara nyingi huwa baba mwishowe huishia kuwa mashoga na majambazi halafu tunajifanya sisi vidume hatuupendi ushoga kumbe tumeutengeneza. [emoji23][emoji23]kweli akili za mtu mweusi hazihusishi logic na future consequences.
Shukrani kwa kuliona hilo[emoji122]
 
Akili kubwa ni ipi mkuu au ww ulitakaje yaan baada ya kuzaa na jamaa wajikunyate kisa wamezaa!! Na jamaa hakuona kat yao anafaa kuoa hizo ss ni shida zake ila wametokea wanaume wamewaona katkat ya kuzalishwa bila ndoa lkn bado wanafaa kuwa wake za watu!!
Kumbe mnapenda kuzalisha na kuacha half mnaanza kuwaponda single mamaz.
Hao sio wife material
 
Kuna Jamaa Yangu Ana Watoto 12
Mama Tofauti Yaani Akuwa Na Wakati Mgumu
ukioa Ajaye Atazaa Halafu Maneno Kama Yote
Ishi Nao Hakuna Namna
Kama anataka kuoa, ingekuwa vizuri kama watoto wakiwa kwa mama zao; huku jamaa akituma matumizi tu
 
Back
Top Bottom