Najutia tukio hili: Sikuweza kumsaidia rafiki yangu akajinyonga

Aisee huyo aliyejinyonga ilikuwa eneo gani? Pale msikitini au wa karibu na uwanja wa barafu ?

Anyway, maeneo yangu hayo.
 
Kama ilivyo kwangu kivipi mkuu?Me mwenyewe nasikitika Raisi wangu hayupo!My all time president!
 
Alivyokwambia anataka kujiua. Ukumuuliza hata sababu za yeye kutaka kufanya hvo?
Nilimuuliza mkuu, kwa majibu aliyonipa sikuyachukulia serious maana nilikuwa nikimuangalia anaonekana mwenye furaha kunizidi. Hata alikuwa akiumwa yuko very strong kushinda mimi nikiumwa!
 
Kuna vitu usiseme huwezi kuvifanya!
 
"Guilty Consciousness" uko nayo wewe kwa kushindwa kumshauri mazuri mwendazake.
 
mkuu pole kwa kubeba matatizo yasiyo kuhusu na unatembea nayo na yanakutesa haswaaaa
Kikubwa chukulia ushauri ulompatia ulikuwa sahihi sana ila jua kuwa kuna aina ya waomba ushauri wa aina hii;
1 kuna wale wanaomba ushauri na wako tayari kufanyia kazi ushauri wowote watakaopatiwa, maana huwa hawajui wafanye nini kwa wakati huo
2. kuna wale wanaomba ushauri ilihali wanamitizamo yao na huwa wanataka mtu wa kusarport kwa kile walichokifikiria yani, mtu anaomba ushauri ila anataka mtu ampe ushauri kulingana na jibu(mtizamo) alilo nalo kichwani mwake. mfano mtu anaomba ushauri ila ndani ya nafsi yake anaamini kujiua ndo ufumbuzi wa yotee, kwahiyo ukimshauri tofauti na kujiuo anaona ushauri wako hauna maana na ni ushauri usio na maana

Elewa hilo na chukulia alishakuwa na jibu lake ndani ya nafsi hata ka ungefanya jitihada gani
 
Mkuu pole kwa masahibu lakini hongera kwa kuwa tayari kutushirikisha kilicho moyoni mwako.

Ni sawa kabisa wala sio tatizo kuhisi unavyohisi kwa sasa,Wanasema ITS OKAY NOT TO BE OKAY.

Kwa kuwa umetambua ni jambo linalokusumbua na unaendea kufanya juhudi kupata msaada ,Naomba nishauri jambo.

Kuna wadau wa masuala ya Afya ya akili ,Ambao kwa kuwa una nafasi ya kutembelea mitandao ya kijamii unaweza kupata msaada kwa wakati sahihi wanaitwa MENTAL HEALTH TANZANIA,Ukiwasiliana nao kuna uwezekano wa kupatiwa ushauri au msaada wa kifikra wa nini ufanye ili kuendelea na shughuli zako nyingine.

DAR ES SALAAM wako Ubungo karibu na Ubungo Plaza ,mtaa wa National Housing,ukitumia namba hizi utapata maelezo zaidi 0766 501 848.

Wana akaunti Instagram ,Facebook na hata twitter ,Pia kwa sasa wamefungua forum kama ilivyo jamii forum,Lakini yenyewe inahusika na masuala ya Afya ya akili.Search mental health Tanzania forum,Kule kuna majukwaa pia ambayo ukipost mada kama hii ,ni rahisi kuzidi kupata msaada wa kitabibu maana kuna wataalam wako online muda wote kwa ajili ya msaada wa issue kama yako.

Kila mmoja ana mapokeo yake ya namna gani jambo linamuumiza moyoni.Hivyo sio lazima ninavyohisi mimi nawe iwe hivyo kwako.
Usikatae kuwa moyo wako haujahuzunika ili tu ufanane na walio kuzunguka ,Kama mwanaume ikifika wakati una huzuni na unahisia nafsi inakwambia kulia,Unatakiwa kulia tena kwa hisia kwelikweli ,Kufanya hivi ni sehemu ya tiba na kuupa moyo nafasi ya kuendelea kufanya mengine.

Kwa lolote karibu PM.



 

Jinsi unavyoishi na watu ndio watakavyokukumbuka, huwezi kulazimisha hata iweje. Shujaa aliishi maisha yake kama ulivyoshuhudia, ugonjwa ukaja akaudharau yakatokea yakutokea. Sasa nani alaumiwe? RIP Shujaa.
 
 
 
We m.senge Nini?
 
Huna cha kushauri zaidi ya kuandika huu upimbi wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…