Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kwanza kitendo cha kumlilia mwanaume mwenzako mimi naogopa ujue...kwamba bila yeye ww hupumui? Alafu ukute ndugu kibao wamekufa hukuwalilia..yelewiiAisee Katika Yatima wanaoteseka wewe ni Kiongozi wao,kila mahali unamtaja huyo Hayati.
Wee..kuna dalili.?kwa kina nani hao?Mbona tayari dalili zimeanza.
Ndio maana niliwaambia wapuuzi fulani, inawezakuwa jamaa huyu alikukwaza kwa namna moja au nyingine, kitendo cha yeye kufa na bado unamtukana unajitafutia ugonjwa mbaya sana wa majuto.
Kifo ni form nyingine ya maisha ya kiumbe, hatujui labda kinapewa uwezo zaidi ya huu tulio nao,au kinakuja kwa namna tofauti hapa hapa duniani tena.
HIVI ALIPOKUAMBIA ANATAKA KUJINYONGA!Wakuu Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,
Niliwahi kuwa na rafiki yangu wa karibu sana,alikuwa sio mgonjwa au sikujua anaumwa. Tulikuwa tukikutana ana tabasamu zaidi ya mimi na muda wote alikuwa anafuraha mpaka mimi alikuwa ananishauri akiniona sina furaha.
Siku moja aliniambia anafikiria kujiua sikushtuka nikamshauri kidogo kama vile ushauri wa vijana, wiki mbili baadaye akajinyonga. Nimekaa na hili jambo muda mrefu sana lakini limegomakutoka kwenye nafsi yangu, sina furaha, najilaumu, ninahisi sikutimiza wajibu wangu sehemu fulani ambayo ukiniuliza ni sehemu ipi siijui lakini ninahisi kama rafiki yake nilifeli kumsaidia.
Huu ni mwaka wa 12 sasa naishi kwa maumivu makali sana na sijui nitajitoaje. Je, kuna mtu alishawahi kuwa katika mazingira kama yangu na alisahau vipi akawa na furaha na amani kama zamani?,Mimi nimeshindwa kutojilaumu! popote ulipo Suleiman Nisamehe!
Kama uliwahi kujutia kitu ambacho unahisi ungekifanya na hukukifanya hebu tirirka hapa tuone msaada unaoweza kupatikana.
Depression is never faked.Kuna jamaa nae leo ni mteja wangu sema kama baharia tu anapiga vibarua vya hapa na pale kaniambia anataka kujiua
@Behaviourist msikilize huyu mat..k.oh" Guilty Consciousness "
hali hio watakuwa nayo wanamatusi wa humu na kwengineko dhidi ya ushujaa wa kamanda JPM.
Ina nguvu sana hio kitu itawaandama daima kwa matusi walio na wanayo toa kwa Baba yetu JPM ,its hard to escape from it
watajiona wanahusika moja kwa moja na kifo chake kama ilivyo kwako hapo sasa ( Mtakuja kujionea wenyewe )
@ Behaviourist@Behaviourist msikilize huyu mat..k.oh
" Guilty Consciousness "
hali hio watakuwa nayo wanamatusi wa humu na kwengineko dhidi ya ushujaa wa kamanda JPM.
Ina nguvu sana hio kitu itawaandama daima kwa matusi walio na wanayo toa kwa Baba yetu JPM ,its hard to escape from it
watajiona wanahusika moja kwa moja na kifo chake kama ilivyo kwako hapo sasa ( Mtakuja kujionea wenyewe )
Hivi yule dogo anaendeleaje?😔 sorry kuuliza hapaThanks mkuu,nimeshafanya hivyo bado sina raha.Kuna kitu sijakiandika ndio kinachoniuma zaidi!
Yes mkuu niliyafanya ndio lakini majibu aliyonipa hayakunipa hofu hata kidogo,maana alikuwa so strong than me emotionally.HIVI ALIPOKUAMBIA ANATAKA KUJINYONGA!
ulimuliza au kumhoji kwanini,sababu gani anataka fanya maamuzi hayo
Ova
Wangari Mungu amekuwa mwema sana kwetu,anaendelea vizuri sana ana afya njema sana no complains so far.Anahudhuria clinic kuchekiwa after every six months ataend hii june i think.Namshukuru sana Dr Josephine,Mungu amlipe kwa yote aliyotufanyia kama Familia.Hivi yule dogo anaendeleaje?😔 sorry kuuliza hapa
Amen amen ...nimefurahi kusikia hili jamani....! Dah...so lovely..bado yuko kule kule? Alafu alihisg mm mama mdogo😜Wangari Mungu amekuwa mwema sana kwetu,anaendelea vizuri sana ana afya njema sana no complains so far.Anahudhuria clinic kuchekiwa after every six months ataend hii june i think.Namshukuru sana Dr Josephine,Mungu amlipe kwa yote aliyotufanyia kama Familia.
Mkuu acha tu...nakumbuka miaka ya 90 huko maeneo ya mburahati barafu....kuna mtu alijinyonga, tukaenda kuona, tulivyorudi mmoja wa mdada tulioenda nae alikuwa Nesi....akatoa kauli kuwa "mimi siwezi kujinyonga yani".
Baada miezi kadhaa yule Dada alijiua kwa kujikata koromeo! Inasemekana alikorofishana na shemeji yake...
Kauli yako imenikumbusha huu mkasa...