Najutia tukio hili: Sikuweza kumsaidia rafiki yangu akajinyonga

Wee..kuna dalili.?kwa kina nani hao?
 
Kama alishaamua kujinyonga hata ungefanyaje ni lazima angejimaliza tu !! kifo kikianza kukuita mwanadamu hamna namna!! cha msingi ni kusahau na kama kuna kuonana huko kuzimu basi mtaonana!! isharah - ila kwako wewe maisha lazima yaendelee.
 
HIVI ALIPOKUAMBIA ANATAKA KUJINYONGA!
ulimuliza au kumhoji kwanini,sababu gani anataka fanya maamuzi hayo

Ova
 
Kifo cha rafiki yako ni mlima.

Huu mlima umeubeba.

Huu mlima unatakiwa kuupanda na kuuvuka.

Am saying stop carrying this mountain, climb it.

Pengine huwezi peke yako, kuna mtu anaweza kukusaidia. Out there there is someone who can help you.

NB. Sikuwahi kujua wewe ni mwanaume.
 
@Behaviourist msikilize huyu mat..k.oh
 
Wakat wake ulifika mkuu, huna namna ya kujilaum
 

Ama kwa hakika hayupo chizi ajuaye kuwa yeye ni chizi.

Itoshe kusema: Hiiiiii bagosha!
 
Wakati nipo shule ya msingi kuna siku natoka shule kwenda nyumbani, njiani nikakuta jamaa anapewa kipigo kitakatifu na jamaa wengine wawili. Nikauliza mtu aliyekuwepo eneo la tukio kuna tatizo gani? Akajibu walimkuta jamaa anataka kujitundika ndo wanamwadhibu kwa hilo kosa alilotaka kufanya. Nikashangaa sana kwamba baada ya kile kipigo si ndo ataharakisha zaidi kujiua? Sikuwahi kufuatilia nini kiliendelea ila hadi leo nikipiga hesabu za hatua walizochukua wale ndugu zake nashindwa kuelewa.
 
Hivi yule dogo anaendeleaje?😔 sorry kuuliza hapa
Wangari Mungu amekuwa mwema sana kwetu,anaendelea vizuri sana ana afya njema sana no complains so far.Anahudhuria clinic kuchekiwa after every six months ataend hii june i think.Namshukuru sana Dr Josephine,Mungu amlipe kwa yote aliyotufanyia kama Familia.
 
Amen amen ...nimefurahi kusikia hili jamani....! Dah...so lovely..bado yuko kule kule? Alafu alihisg mm mama mdogo😜
 

Ni makosa sana mkuu ACCOUNT, hata kama mtu amekukera kiasi gani lakini kuchukua uwamuzi wa kujitoa uhai sio kwakweri.

Allah atuamrisha katika Qur'an


Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza isipo kuwa kwa haki. Na aliye uliwa kwa kudhulumiwa basi tumempa madaraka mrithi wake. Lakini asipite mpaka katika kuuwa. Kwani yeye anasaidiwa.

Halafu hapo hapo tunasema Mungu amepanga kifo chake, kweli Mungu anataka Mtu ajiuwe kweli!!!! sometimes tunamkosea sana Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…