MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Arusha pesa zilikuwa nje nje. Sijui alipewa kiasi ngapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakaaya Sumari amerudisha kadi ya Chadema jioni ya leo na kumkabidhi JK kwenye mkutano wake ulio fanyika leo mkoani Arusha, JK amempongeza sana kwa kitendo hicho na kumwambia karibu mama CCM ndicho chama pekee Tanzania.
Nakaaya Sumari amerudisha kadi ya Chadema jioni ya leo na kumkabidhi JK kwenye mkutano wake ulio fanyika leo mkoani Arusha, JK amempongeza sana kwa kitendo hicho na kumwambia karibu mama CCM ndicho chama pekee Tanzania.
Nakaaya Sumari amerudisha kadi ya Chadema jioni ya leo na kumkabidhi JK kwenye mkutano wake ulio fanyika leo mkoani Arusha, JK amempongeza sana kwa kitendo hicho na kumwambia karibu mama CCM ndicho chama pekee Tanzania.[/Q
Thibitisha basi hata kwa picha kama yule Taahira wa CCj akiwa na mwalimu wa UPE.!!
Hana jipya anashinda anajiuza hapa Arusha kwenye bar ya Empire. Kwa yeyote atakayekuja Arusha afike EMPIRE SPORTS BAR utamkuta akiwa amevaa vinguo vya kuvutia "wateja"!!
mie naona ilikuwa mkubali mmepoteza kiustaarab na muache hayo matusi yasio na maana
![]()
Arusha pesa zilikuwa nje nje. Sijui alipewa kiasi ngapi.
bado wewe!hawawezi ni sehemu yao, maana kiyabo ameitwa shoga...sijui wapoje.
ukifuatilia kampeni za ccm utapata sababu za nakaaya kukimbilia huko. Ccm haina hoja za kuwavutia wasikilizaji wake kwenye mikutano yao ya kampeni. Asilimia takribani 80 za muda wao wa kampeni hutumia kutumbuiza adhara iliyopo, zinazobakia ndio hutumika kuwasilisha hoja zao kwa wananchi.
Kwa hiyo haishangazi kuona wanaongeza msanii mwingine, kwani wataingia mzunguko wa pili muda si mrefu hivyo wanahitaji vitu vipya vya kisanii.
Fikiria, jk anafikia hatua ya kuomba msanii fulani apande jukwaani kuburudisha badala ya yeye kuendelea kushawishi wasikilizaji wake ili wamchague. Alifanya hivyo kwenye uwanja wa sokoine pale mbeya, alimwita kazita kwa sauti akitumia kipaza sauti na kusema "kazija njoo utuibie wimbo wako." kazija hakutokea, naye akateremka kutoka jukwaani ukawa mwisho wa hotuba!!!
Kampeni za ccm ni fiesta nyingine, haina tofauti na ile inayojumuisha vijana wa muziki wa izazi kipya. Safari hii hata komba hana nafasi, amefunikwa na kina malowa, bushoke, kazija, kina juma nature na wengine!! Vk sasa mambo yametulia, hajisumbui sana, kwa hiyo anahitajika wa kuchukua nafasi yake!!!!
List ya Wasanii Wabangaizaji (WW)
1. Nakaaya Smari
2.
3.
4.