FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Tuombe uzima bado tutaendelea kupatwa na mshangao zaidi kuhusu huyu Binti..
nadhani kaahidiwa maziwa na asali
nadhani kaahidiwa maziwa na asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe uzima bado tutaendelea kupatwa na mshangao zaidi kuhusu huyu Binti..
nadhani kaahidiwa maziwa na asali
Hawa MOD wanakera na kuboa....kwanini mumehamisha post yangu nikimpa pongezi Nakaaya!_)*()&*(^*&%&^$^$%^£$%£$!"!£$"
iweke tena Rev au nitumie mimi niiweke
Mwafrika, mbona unamtetea sana!!!! Ingawa simfahamu huyu mtu nasikitika sana kwa yeye kukubali kununuliwa na mafisadi. Ukumbuke kuwa ahadi za JK si za kuziamini sana!!!
Nilianzaisha topic hapa na Kichwa cha Habari "Sheikh Yahya kumuongezea Ulinzi Zaidi JK" Imeshachakachuliwa, kuna mods humu wananifanya sometimes nikose imani na hili Jukwaa
Kwa kweli hawa jamaa huwa wana maudhi sana! Post haikuwa na matusi na theme tofauti wanaunga unga tu! sijui nani anawaamuru haya Ninawatusi kimoyo moyo, hasa yule MOD mwenye huo mchezo mchafu! Anachakachukua kila kitu cha Mchungaji
Check ur PM
Nilianzaisha topic hapa na Kichwa cha Habari "Sheikh Yahya kumuongezea Ulinzi Zaidi JK" Imeshachakachuliwa, kuna mods humu wananifanya sometimes nikose imani na hili Jukwaa
....Just some cheap bottomed trash, purpoting to be a musician!...wanamuziki hatuwajui?
Tuombe uzima bado tutaendelea kupatwa na mshangao zaidi kuhusu huyu Binti..
nadhani kaahidiwa maziwa na asali