Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,158
- 4,449
Jamanieeee!!!!!!!!!! Tusimfuatefuate huyu dada, alipoamua kuwa msanii kitu alichofikiria ni maslahi yake yeye, na alipoamua kuingia chadema aliangalia pia maslahi, sasa kama hayo maslahi upande wa chadema anaona yatachelewa au kutopatikana kabisa hasa ukichukulia huku kumejaa watu wanao endekeza maslahi ya taifa kwanza, unategemea afanye nini hasa ukichukulia huenda amefuatwa na vigogo kwamba mzee atakupa ukuu wa wilaya au uwakilishi fulani., kama mtoto wa kike yeyote umtongozaye humo barabarani lazima ashoboke tuu. Mimi namtakia kila la kheri huyu dada. Hapa kazi tuu, ilimradi mkono uende kinywani na mguu uingie saloon.