Mbuna Senior
Member
- Aug 2, 2016
- 55
- 125
Huu ni ushauri wa kibabeFua mashuka
Usile sana usiku
Usilalie upande wa kushoto
Acha kuangalia movie za kutisha usiku
Lala na demu usiku
Vuta bangi ikibidi
Kula kitimoto
Na pia akilala asilale chaliFua mashuka
Usile sana usiku
Usilalie upande wa kushoto
Acha kuangalia movie za kutisha usiku
Lala na demu usiku
Vuta bangi ikibidi
Kula kitimoto
Shada tu kazi Kwisha😀😀😀Puliza shada humo ndani au weka mfupa wa kitimoto.
Itakuwa shuka zake ndo zinambanaFua mashuka
Usile sana usiku
Usilalie upande wa kushoto
Acha kuangalia movie za kutisha usiku
Lala na demu usiku
Vuta bangi ikibidi
Kula kitimoto
Shuka ikiwa chafu lazima uote majinamiziItakuwa shuka zake ndo zinambana
niliwahi lala na manzi lakini wapFua mashuka
Usile sana usiku
Usilalie upande wa kushoto
Acha kuangalia movie za kutisha usiku
Lala na demu usiku
Vuta bangi ikibidi
Kula kitimoto
Habari wanajamii wenzangu
Napenda kupata ushauri mara nyingi huwa inanitokea nakosa kabisa usingizi hadi usiku mwingi kuanzia saa 8 hivi kumetulia ndo vimbwangwa ...
[emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee hii kitu kumbe inasumbua umma mkubwa sana., Mimi nilishaamua kuachana nalo likabe likimaliza lipite hivi.
Nitafanyaje sasa mkuu nishaamua kuachana nalo kulalake zake, Yani sometimes ni kama nakuwa macho ila siwezi kufanya kitu yoyote zaidi ya kujitahidi kutumbua mimacho. Ila kwangu nadhani tatizo ni hii nyumba ninayoishi coz nikilala sehemu tofauti sikutani na huu ujinga.[emoji23][emoji23][emoji23]