Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Mkuu title umeandika unabakwa usiku au macho yangu yana shida ? 🙄Habari wanajamii wenzangu
Napenda kupata ushauri mara nyingi huwa inanitokea nakosa kabisa usingizi hadi usiku mwingi kuanzia saa 8 hivi kumetulia ndo vimbwangwa vinaanza napata usingizi wa ghafla alafu nakabwa na dude lisilojulikana nashindwa kufanya lolote nabaki nasali kimya kimya.
Baada ya muda naliona hilo linaondoka naona kama kivuli kiumbe ambacho hakina shape wala uwezi kuelezea umbile lake. Sasa naomba ushauri nifanye nini ili hali hii isiweze kunitokea maana inaninyima raha nikifikilia wakati ukifika wa kulala.
Watamgeuza kua nini mkuu mbon unamtisha? 😟Iyo ishu ndogo marafiki zako wanga wanakuchezea kuwa MAKINI wakiona Huna kinga yoyote watakugeuza usiku shauri yako Hilo ni onyo. Kata mazoea na watu wote ambao Kila ukilala unawota Ndotoni. Huo ndio Masada wangu kwako.
Hama hapoNitafanyaje sasa mkuu nishaamua kuachana nalo kulalake zake, Yani sometimes ni kama nakuwa macho ila siwezi kufanya kitu yoyote zaidi ya kujitahidi kutumbua mimacho. Ila kwangu nadhani tatizo ni hii nyumba ninayoishi coz nikilala sehemu tofauti sikutani na huu ujinga.
Pole sana hilo ni Pepo chafu nitafute mimi Kwa wakati wako ili nipate kuliondoa hapo unapoishi.Habari wanajamii wenzangu
Napenda kupata ushauri mara nyingi huwa inanitokea nakosa kabisa usingizi hadi usiku mwingi kuanzia saa 8 hivi kumetulia ndo vimbwangwa vinaanza napata usingizi wa ghafla alafu nakabwa na dude lisilojulikana nashindwa kufanya lolote nabaki nasali kimya kimya.
Baada ya muda naliona hilo linaondoka naona kama kivuli kiumbe ambacho hakina shape wala uwezi kuelezea umbile lake. Sasa naomba ushauri nifanye nini ili hali hii isiweze kunitokea maana inaninyima raha nikifikilia wakati ukifika wa kulala.
Daa pole sana, mimi wakati naishi kigogo hali hiyo ilikuwa ikinitokea mara kwa mara ila c unajua cc ukanda wa Tanga huwa watu wa Tv fasta, nikaambia mwenye nyumba ameweka zindiko kubwa sana hapo, oyaa kwa asiye elewa hali hiyo anaweza kuona kama masihara ila usiombe, unaweza kufananisha na jinamiz kwa wanavyoita ila c kwa hali ile inayotokea, tena cku hiyo mmi ndo nakaribia kulala tu hiloo,Habari wanajamii wenzangu
Napenda kupata ushauri mara nyingi huwa inanitokea nakosa kabisa usingizi hadi usiku mwingi kuanzia saa 8 hivi kumetulia ndo vimbwangwa vinaanza napata usingizi wa ghafla alafu nakabwa na dude lisilojulikana nashindwa kufanya lolote nabaki nasali kimya kimya.
Baada ya muda naliona hilo linaondoka naona kama kivuli kiumbe ambacho hakina shape wala uwezi kuelezea umbile lake. Sasa naomba ushauri nifanye nini ili hali hii isiweze kunitokea maana inaninyima raha nikifikilia wakati ukifika wa kulala.
Kuna mdada nlimwota ndotoni zaidi ya mara 5 hlfu si demu wangu, ni jirani yangu, namtamani ila simpendi kihivo, nashangaa kwann namuota ota, wakati kuna wadada wengine wazuri zaidi yake na nliwatamani zaidi yake, na sijawahi waota hata mara moja badisonIyo ishu ndogo marafiki zako wanga wanakuchezea kuwa MAKINI wakiona Huna kinga yoyote watakugeuza usiku shauri yako Hilo ni onyo. Kata mazoea na watu wote ambao Kila ukilala unawota Ndotoni. Huo ndio Masada wangu kwako.
Pole sana😂Aiseee hii kitu kumbe inasumbua umma mkubwa sana., Mimi nilishaamua kuachana nalo likabe likimaliza lipite hivi.