Nakanusha: Hospitali za Umma hazipendi kutoa huduma mbovu isipokuwa majukumu yanawalemea

Nakanusha: Hospitali za Umma hazipendi kutoa huduma mbovu isipokuwa majukumu yanawalemea

Hamjitambui nyie watu WA zahanati na hosptali mmeua Watu wengi sana.
 
MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watumishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
Unakanusha people don’t wait for two hours halafu unatumia all your time justifying the two hours

Madaktari mmekua na very low iq

First accept the problem, then justify why ili utoe solutions

Uwezo wa kipumbwa kabisa huu

Pole wagonjwa wako
 
Unakanusha people don’t wait for two hours halafu unatumia all your time justifying the two hours

Madaktari mmekua na very low iq

First accept the problem, then justify why ili utoe solutions

Uwezo wa kipumbwa kabisa huu

Pole wagonjwa wako
hueleweki ulichoandika, huduma mbovu za hospitali za umma hazisababishwi na wahudumu, zinasababishwa na ufinyu wa rasilimali watu

hivi ukae kwenye foleni watu 60 mnamsubiria kumuona daktari mmoja tatizo ni daktari au tatizo ni uhaba wa madaktari?
 
Lkn pia, Mwendazake aliwezaje kuwafanya mpunguze haya malalamiko ya wananchi.?
Ni kweli upungufu wa watumishi upo, lakini pia uzembe na ubabaishaji nao ni mwingi sana. Uhalisia wa mambo sote tunaujua, haukuanzishwa na huyo mdau aliyetoa malalamiko hapa jukwaani, sote tunazijua huduma zinazotolewa kwenye hospitali zetu za umma: uzembe ni mwingi, wizi wa madawa na vitendea kazi, porojo nyingi, na kukosa kuwajibika. Wakati wa Mwendazake ufanisi uliongezeka kwa sababu yeye alikuwa hacheki na mtu.
 
Nimeshtushwa na kutanabahishwa na huduma ya maternity mnazi mmoja Dar es salaam . Sijaamini kabida .wako special sijui ni mradi wa UN ama naota maana wanajali ,wanakumbusha kina mama kwa simu kuhidhuria clinic na wanahakikisha hawamiss kitu .mi bado sijaamini kama ni ya serikali
 
Tena huku hospitali za wilaya huduma ni mbovu zaidi
 
MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watumishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
Si wanasema wakati wa jiwe eti hayakuwepo hayo!

Wafuasi wa mwendazake
 
Mdau alisema mnapata muda wa kupiga stori. Hii nayo unasemaje?

Mkiwa hamtoshi ndio mkae mpige stori?
Mkuu hamna mtu wa kuacha mgonjwa eti akaenda kupiga story, ishu inakuja pale mgonjwa anataka huduma akiona mhudumu mwingine anapiga story anachukia bila Kujua huwenda muhudumu huyo hausiki kabisa kwenye kitengo icho! nakupa mfano nenda hosp ya umma utakuta wagonjwa 50 wako kwenye foleni wanataka kumuona dokta ambaye ni mmoja tu! hivi atawezaje kuwaacha akapige story?
 
hueleweki ulichoandika, huduma mbovu za hospitali za umma hazisababishwi na wahudumu, zinasababishwa na ufinyu wa rasilimali watu

hivi ukae kwenye foleni watu 60 mnamsubiria kumuona daktari mmoja tatizo ni daktari au tatizo ni uhaba wa madaktari?
Kuna wahudumu wa hovyo kabisa

Usitafute chaka la kuficha uzembe na uovu wenu

Acha audits za quality ziwaweke watu bayana

Punbaf kabisa
 
MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watumishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
Mbaya zaidi wagonjwa wengi ni wamsamaha
 
Utawasikia wanasema kasomee afya kazi zake ni za heshima na malipo mazuri ila ukiwaona wamepauka sana kuliko sisi Administrators wa Taasisi za Serikali.
Mishahara yao hata siyo mikubwa ya kutisha isipokuwa ni siasa tupu, pia hawana hata posho zaidi ya call allowance ambazo ni elfu 10,000 kwa siku nazo kutoka ni mbinde haswa
 
Back
Top Bottom