Nakanusha: Hospitali za Umma hazipendi kutoa huduma mbovu isipokuwa majukumu yanawalemea

Nakanusha: Hospitali za Umma hazipendi kutoa huduma mbovu isipokuwa majukumu yanawalemea

MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
View attachment 2279137
Halafu wako watu wanasifia kila kitu eti Nani wa kushindana na Rais Samia wakati wananchibwanapata huduma mbovu!!
waTanzania hatukui.??
 
Mkuu hamna mtu wa kuacha mgonjwa eti akaenda kupiga story, ishu inakuja pale mgonjwa anataka huduma akiona mhudumu mwingine anapiga story anachukia bila Kujua huwenda muhudumu huyo hausiki kabisa kwenye kitengo icho! nakupa mfano nenda hosp ya umma utakuta wagonjwa 50 wako kwenye foleni wanataka kumuona dokta ambaye ni mmoja tu! hivi atawezaje kuwaacha akapige story?
Umejibu kipumbavu sana, hembu nyamaza usiaibishe ukoo wako
 
Fikiria ni Mara ngapi Ummy Mwalimu amepiga ngonjera bungeni juu ya bima ya afya kwa wote!. Utasikia bunge lijalo serikali italeta mswada wa bima ya afya kwa wote; bunge likianza maigizo ni yaleyale ya bunge lijalo serikali italeta mswada wa bima ya afya kwa wote!.

Kwa hiyo, kwa hiyo, kwa hiyo (narudia,kwa hiyo) kinacholeta shida katika nchi hii hata katika sekta ya afya sio wahudumu/ wataalamu wa afya bali siasa imeharibu kila kitu. Tunao madakatari wenye weledi na utaalamu wa kiwango cha kustahili lakini hawahusishwi katika mipango na maamuzi katika sekta ya afya bali maamuzi yanatolewa na mtu ambae hata hana utaalamu wowote kwenye sekta ya afya.

Madakatari na wahudumu wengine wa sekta ya afya wanafanya kazi kubwa Sana ya kututibu sisi ila kikwazo kipo kwa wanasiasa ambao wanasema bungeni hawaendi kubeba zege bali kuchanganya maneno tu yawe ya kweli au ya uongo (nikimrejea Augustino Lyatonga Mrema).

Sisi tunaambiwa elimu bure; haya tafuteni watoto wa wanasiasa Kama mtawakuta kwenye hizo zinazoitwa elimu bure Kama sio mtawakuta Feza boys/girls, Casmiri, Marian boys and girls. Haya, tuendelee kushangilia elimu bure wakati darasani Mwalimu hawezi kupata nafasi ya kudhibiti wanafunzi wapiga kelele waliopo pale backbench.

Matatizo ya nchi hii yanaanzishwa na kusababishwa na wanasiasa forehence no room of blaming civil servants unless proved viz scientific research.
sahihi kabisa
 
MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
View attachment 2279137
In nature binadamu tupo positive and Negative, Lakini Kuna haja ya watumishi wa umma kuwa civilized zaidi licha ya changamoto wanazokumbana nazo
 
MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
View attachment 2279137
Pamoja na huzo changamoto, hujanishawishi.

Tabia zenu ni mbaya. Mnapenda kuhusudiwa. Mnadai vizawadi kimtindo. Nisipotoa next time sipewi huduma zilizochangamka.

Mna nyodo na dharau, mnajiona dodo sana.

Aisee!! Kada ya afya mnajiona na kuwaona wengine hawana akili.

Badilikeni
 
Endelea kujitetea, unadhani kuna kitu wananchi hawana ufahamu juu ya utendaji wa watumishi wa afya kwenye hospitali za Serikali? Yote yanafahamika tena mkoa wa Mtwara ndio usiongee neno kabisa mentioning Ligula hospital….
 
Kama kila mmoja anajitetea kutotimiza wajibu wake kwa kigezo cha wingi wa watu, basi hakutakuwa na ufanisi ktk sekta yoyote.
Hata serikali kuu nao watajitetea kutoleta maendeleo kwasababu ya idadi kubwa ya watu na changamoto nyingine. Watumishi wa umma, Walimu, bankers, na watoa huduma wengine hupitia changamoto lakini wanajitahidi kutoa huduma bora.
 
Kama kila mmoja anajitetea kutotimiza wajibu wake kwa kigezo cha wingi wa watu, basi hakutakuwa na ufanisi ktk sekta yoyote.
Hata serikali kuu nao watajitetea kutoleta maendeleo kwasababu ya idadi kubwa ya watu na changamoto nyingine. Watumishi wa umma, Walimu, bankers, na watoa huduma wengine hupitia changamoto lakini wanajitahidi kutoa huduma bora.
Na ujinga zaidi sensa znafanywa kuweza kutambua mambo kama haya..!!! Lakini data zipatikanazo kwenye sensa huwa zinabaki kwenye makabrasha tu
 
Pamoja na huzo changamoto, hujanishawishi.

Tabia zenu ni mbaya. Mnapenda kuhusudiwa. Mnadai vizawadi kimtindo. Nisipotoa next time sipewi huduma zilizochangamka.

Mna nyodo na dharau, mnajiona dodo sana.

Aisee!! Kada ya afya mnajiona na kuwaona wengine hawana akili.

Badilikeni
Si kweli, hiyo labda ni tabia ya mtu kivyake, na hao watu wa hivyo wapo sikatai but sio wahudumu wote na wapo kila sehemu sio afya tu
 
MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
View attachment 2279137
Kwahiyo pichani mhudumu amepata dharura
 
MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA

Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.

Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!

Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.

Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.

Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.

Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.

Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.

Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.

Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.

Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.

Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.

Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?

Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?

Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya

Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi

Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.

Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.

Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.

Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.

Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!

Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana

serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo

Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
View attachment 2279137
Hapo hamna CO wala nurse muhudumu wa afya ni yule anayevaa jani la mgomba kifupi yule anaitwa medical attendant kazi yake inaishia kujiandaa mgonjwa na Dakar tu wala siyo kujibu. Lakini ndo wamejaa huko vijijini
Na huo ni mwaka tunaambiwa kulikuwa na mzee wa LEGACY
 
Back
Top Bottom