Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Point tupuNaungana na wewe mkuu , wahudumu wa Afya serikalini Kwanza niwape pongezi Sana , mnafanya kazi ngumu ya kuogofya mno , mazingira magumu ya kazi , mnakuwa overwhelming na idadi ya wagonjwa , wakat mwingine mgonjwa anakufia mkononi sio kwamba ni uzembe Ila vifaa hamna, unaweza Lia kabisa but nothing you can do....
Serikali yetu hi worst na terrible Sana upande wa Afya ....!!! Inashangaza hii ndo Wizara ambayo ingetakiwa kuongoza Kwa kuwa na ukubwa wa bajeti lakini hata kwenye top 5 nafkri hata haimo wakat ndo imebeba uhai wa raia ...
Watu wengi wanafariki Kwa kukosa matibabu stahiki , kiuhalisia daktari hawez fanya lolote kama mazingira sio wezeshi
Tatizo ni vigogo kulipana posho kwenye vikao badala ya kujali huduma za afyaMfumo mbovu wa Ujamaa alioujenga Nyerere ndiyo umetukwamisha kiuchumi. Uchumi ukikwama, hata huduma za afya zinakuwa mbaya. Ndiyo maana vigogo wakiugua wanaenda kutibiwa nje ya nchi.
Very good tena mtumishi mwenyewe unakuta ni medical attendantserikali inalijua hilo lakini ipo kimya, zahanati huko vijijini zinaemdeshwa na mtumishi mmoja, mda mwingine hata yeye anachoka anafunga anajificha, ndo maisha yanavyoenda ivyo
lawama waipelekee CCM sio watu wasiohusika
Wao ndiyo wanaajili?Unataka wananchi walalake kwa Nani?
Na kwa nini mmekubali muwe wachache ili hali wenye taaluma hiyo wapo tu na vyeti vyao mitaani.?
Kama mmekaa kwa kutulia ili hali mnajua mko watoa huduma wachache, basi mnao huo uwezo wa kuhudumia
Msilalamike, chapeni kazi!
Lkn pia, Mwendazake aliwezaje kuwafanya mpunguze haya malalamiko ya wananchi.?
We naye kawe mbungeWakati huo kuna mbunge yuko dodoma analipa million 11 kwa mwezi pasipo kodi. Hii nchi ccm wanatukosea sana.
Ulitaka nchi iwape hela wananchi wasiotaka jishughulisha?kuna gape kubwa kati ya watawala na watawaliwa, na wananchi wameridhika
V8 ya mwigulu ambayo ingeweza kununua vifaa Kibao vya maabara, napo lawama kwa nyerere.Mfumo mbovu wa Ujamaa alioujenga Nyerere ndiyo umetukwamisha kiuchumi. Uchumi ukikwama, hata huduma za afya zinakuwa mbaya. Ndiyo maana vigogo wakiugua wanaenda kutibiwa nje ya nchi.
Suala la kupauka halina uhusiano wowote na afya wala elimu wala huo uadministrator wako, kukuza kipato ni weledi tu wa mtu, wapo darasa la 7 wana maisha mazuri kuliko degree holdersUtawasikia wanasema kasomee afya kazi zake ni za heshima na malipo mazuri ila ukiwaona wamepauka sana kuliko sisi Administrators wa Taasisi za Serikali.
Doh!Duh, muhimbili pale na ukubwa wote nimekaa jam kuanzia 12 asubuh mpaka 12 jion na Bado, majibu Sasa inakaribia wiki Sasa Bado, yaan unachoka hoi
Private ndio zinawahudumu tosherezi?MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA
Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.
Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!
Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.
Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.
Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.
Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.
Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.
Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.
Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.
Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.
Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.
Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?
Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?
Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya
Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi
Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.
Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.
Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.
Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.
Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!
Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana
serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watumishi, muone kama huduma zitakua za hovyo
Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
Elewa mada kwanza ndugu yanguUnataka wananchi walalake kwa Nani?
Na kwa nini mmekubali muwe wachache ili hali wenye taaluma hiyo wapo tu na vyeti vyao mitaani.?
Kama mmekaa kwa kutulia ili hali mnajua mko watoa huduma wachache, basi mnao huo uwezo wa kuhudumia
Msilalamike, chapeni kazi!
Lkn pia, Mwendazake aliwezaje kuwafanya mpunguze haya malalamiko ya wananchi.?
Wengi wanaoropoka huko mitandaoni wanashindwa kuelewa ukweli kwamba hospital za serikali zimezidiwa na wagonjwa, upungufu wa dawa na vifaa tiba,kukosa wataalamu au upungufu,vifaa tiba nk..MODS USUNGANISHE UZI, NATAKA WATANZANIA WAELEWE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA
Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.
Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!
Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.
Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.
Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.
Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.
Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.
Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.
Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.
Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.
Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.
Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?
Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?
Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya
Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi
Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.
Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.
Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.
Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.
Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!
Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana
serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo
Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
View attachment 2279137
Acha utapeli wa kijinga.mama anenda kirekebisha haya...tusiwe na shaka kabisa kabisa....
Nyerere angetuachia mfumo wa demokrasia, ingekuwa rahisi kumdhibiti huyo Mwigulu na wenzake. Lakini Nyerere alikataa demokrasia.V8 ya mwigulu ambayo ingeweza kununua vifaa Kibao vya maabara, napo lawama kwa nyerere.