Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana..
Dr shukrani kwa ushauri huu mzuri
Nina tatizo la kuwashwa kwenye kichwa, kwa sehemu kuna mba ila pia kuna viupele vidogo vinavyotoa maji na usaa,kuwashwa huku pia kuko kuzunguka masikio ambapo vipo viupele vinavyowasha, kwa mwonekano ni vyekundu, mpaka sasa nimetumia dawa za kupata Senoderm na Gentrisone bila mafanikio, nikitumia Senoderm viupele vinapotea hata kwa wiki then vinarudi upya
Dr naomba ushauri wako nifanyeje kutibu tatizo hili,
Tunaongelea dawa gani hapa za kurefusha maisha?Dr ningependa kupewa elimu sahii juu ya side effect ya dawa za kurefusha maisha, maana nina case mbili ambazo zinanipa maswali mengi, kuna watu wawili tofauti katika vipindi tofauti wote baada ya kutumia dose iliwapelekea kupoteza kumbukumbu, kuumwa sana kichwa, kupofuka macho na mwisho kabisa kifo; je dozi hizo zinaweza kupelekea yote hayo endapo zisipotumiwa sahii?
Nenda hospitali ukafanyiwe check up.Una bawasili,Ni vyema ikifahamika upo katika stage gani ili kupata tiba sahihi!!maumivu hakuna ila kw mbali cna nasikia vitu vinachoma mzigo unapoanza kutoka dr
unaonekana kama una infectious dermatitt.Unaweza kutumia betnovat with chinofom au utumie cortocosteroid separate pekee kama dermovat liniment. Kuna post ya nyuma nimeandika jinsi ya kustep down ukiacha kutumia corticosteroid group 3 and 4.Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana..
Dr shukrani kwa ushauri huu mzuri
Nina tatizo la kuwashwa kwenye kichwa, kwa sehemu kuna mba ila pia kuna viupele vidogo vinavyotoa maji na usaa,kuwashwa huku pia kuko kuzunguka masikio ambapo vipo viupele vinavyowasha, kwa mwonekano ni vyekundu, mpaka sasa nimetumia dawa za kupata Senoderm na Gentrisone bila mafanikio, nikitumia Senoderm viupele vinapotea hata kwa wiki then vinarudi upya
Dr naomba ushauri wako nifanyeje kutibu tatizo hili,
Umejaribu kutumia tiba yoyote?Nimesha jaribu maji ya aina zote, lakini tatizo liko pale pale!
Tunaongelea dawa gani hapa za kurefusha maisha?
lol huachi Nyani Ngabu...hakuna dawa zinazoitwa za kurefusha maisha.The elixir of life, I presume:becky:.
unaonekana kama una infectious dermatitt.Unaweza kutumia betnovat with chinofom au utumie cortocosteroid separate pekee kama dermovat liniment. Kuna post ya nyuma nimeandika jinsi ya kustep down ukiacha kutumia corticosteroid group 3 and 4.
Dr nashukuru sana
lol huachi Nyani Ngabu...hakuna dawa zinazoitwa za kurefusha maisha.Kwanza inategemea mtu anatatizwa na nini.Hata dawa za ukimwi ni kwaajili ya kurefusha maisha,au magonjwa mengine kama parkinsons ni za kupunguza sickness progression na kurefusha maisha,kuna magonjwa mengi hayana dawa ya kuyaponya inabidi ule dawa maisha yako yote ili uudhibit ugonjwa na uishi maisha marefu .Kitu kingine kuna watu wanajulikana watakufa baada ya muda flani mfano mtu mwenye cancer ya ubongo yaani wapo on terminal stage of life hawa wanapewa any strong painkillers ili waishi siku zao za mwisho painfree.Na wakipewa dawa hizo haziangaliwi sideeffects kwasababu tayari inajulikana mtu anakufa kwahio priority ni kuondosha maumivu tu.Hizi strong pain killers mfano morphine(oxycodone,oxycontin) zikiwa overdosed zinaweza kupelekea respiration depression/kushindwa kupumua.
Cc Eddy mtatina
dokta nina tatizo la kusikia crackle sound pindi ninapojinyonyoosha kwa ku-rotate trunk au during deep inhalation,saut inatokea kwenye vertebral column yapata miaka miwili na nilikuwa nikifanya masturbation,nn tatzo????je,nn tiba yake???
i mean ninapojinyoosha
nisaidie docter
Hio crackling sound unaisikia ukipumua yaani kutoka kwenye mapafu?sidhani kama kuna uhusiano ma masterbation hapa.
kutokea kwenye vertebral column(thoracic and lumbar vertebrae)