Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Natokwa na ute mzito mweupe kwenye uume na napata maumivu wakati wa kukojoa.sijui tatizo ni nn? naombeni ushauri
 
Naomba msaada juu ya Dawa za kienyeji ambazo zinapunguza unene na KITAMBI, Je hazina mazara kwa sasa au baadae....??
 
Nikimaliza kula dkka 10 lazima niende chooni alf naharisha kwa mda tatizo laweza kuwa nini
 
Mdogo wangu hana hamu kabisa kula yaani hapendo kabisa.Ana miaka14 nisaidie nipate dawa ya kuleta hamu ya kula kupita kiasi.
 
Natokwa na ute mzito mweupe kwenye uume na napata maumivu wakati wa kukojoa.sijui tatizo ni nn? naombeni ushauri

Wahi hospital kafanye urinalysis, uwenda umepata magonjwa ya zinaa
 
Habari. Naomba kuuliza ni lini mwanamke huanza kupoteza hamu ya tendo la ndoa. Wife ni mwezi wa pili sasa anasema hajisikii kufanya tendo la ndoa. Umri 46 years. Hataki kuniweka wazi tatizo lake. Nikajiuliza inawezekana ndo umri wa kushindwa kushiriki tendo la ndoa? Hajaniweka wazi tatizo lake na sina uhakika kama ana mchepuko. Ushauri tafadhali.

Kwa mwanamke kuanzia miaka 45na kuendelea uzalishwaji wa hormone ya oestrogen ambayo inasaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa inapungua kama si kuacha kabisa, hivyo tatizo la mkeo ni la kawaida, waone wataalam ambao watamsaidia kumaliza tatizo na kurudia katika hali yake mkuu,
 
Kwa mwanamke kuanzia miaka 45na kuendelea uzalishwaji wa hormone ya oestrogen ambayo inasaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa inapungua kama si kuacha kabisa, hivyo tatizo la mkeo ni la kawaida, waone wataalam ambao watamsaidia kumaliza tatizo na kurudia katika hali yake mkuu,

Ahsante kwa ushauri
 
Je kuna ukweli wowote juu dawa za kimasai za kuongeza urefu na unene wa maumbile ya kiume?
 
Mkuu kumbuka njia ya hewa iko karibu na njia ya chakula kwahio si jambo laajabu kilichopuani kwenda mdomoni mf ukikosea kula ukipaliwa punje ya wali inaweza itokee kwa njia ya hewa.Allergy inasababishwa na allergens inapojiunga kwenye IgE-antibody na inapostimulate mastcells kuproduce inflammatory substance like histamine.Histamine inasababisha tunapata allergic reaction!Allergens ni vitu kama vumbi,vyakula n.k!Na ndio maana tukiwa na allergy tunatakiwa tutumie anti-histamins kama cetirizin,loratadin,kestine/ebastin,desloratadin au phexofenadinhydrochloride!Kama una running nose na macho yanaewashwa unapaswa kutumia cortison nostril spray ili kupunguza inflammation kwenye pua au antihistamin nostril spray na antihistamin eyedrops kwaajili ya macho yanayowasha!
CC MAULA

Asante kwa majib barikiwa
 
labda uniambie utanijibu.......ila kusema nina haraka na ka vipi niende kwenye hosp iliyokaribu naona kama umekuwa-harsh kwangu.unless otherwise ungebadili heading ukasema wenye matatizo waende kwenye hosp zilizokaribu nao.btw am sorry for disturbing.

Jaman pole dia
 
Jamani mm ninafangas za kichwa nimehangaika sana sijapata msaada ushauri wenu pls
 
Back
Top Bottom